Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu Niko na 20000 nataka deki iwe ina play DVD VCD na usb
0 Reactions
1 Replies
694 Views
Fridge inauzwa haina tatizo lolote Ni frijii aina hot point Ipo arusha Bei 550k (mazungumzo yapo) Kwa maelezo zaidi Au piga simu namba 0753 315 521 Kaibuni
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wakuu, Natafuta kiwanja Goba, ukubwa ni sqm 900 na bajeti yangu ni milioni 15. Mwenye kiwanja aseme aweke wazi kipo Goba ipi pia na ukubwa wa kiwanja.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za muda huu wapendwa napenda kuwakaribisha wale wote wenye uhitaji wa kujua namna ya kujiajili na kuongeza kipato cha ziada nimeguswa na swala zima la ajira na kujiajili kwa watu wa rika...
0 Reactions
61 Replies
6K Views
Habari, Nauza monitor speaker kwa matumizi studioa used miezi miwili tu zinaonekana kama mpya M AUDIO BX 8 ni 750,000 M AUDIO BX 5 ni 450,000 mixer Ndogo 200,000 Kwa mawasiliano zaidi 0658 64...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
VAA PAMBA KALI UPENDEZE SISE 30-36 DAR:UNALETEWA MIKOANI KUNATUMA KWA GARAMA NAFUU MAWASILIANO O654866658
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Drone Computer wauzaji wa muda mrefu wa Computer, sasa tumekuletea Computer za mac Apple ' All in one zenye sifa zifuatazo...; screen size inch 20, CPU na speaker zimo ndani ya screen, internet...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Trekta inauzwa Brand: Massey Ferguson Model: 290 Engine Power: 80 HP 2WD Bei mil 26 mazunguzo yapo Mawasiliano 0742228231
0 Reactions
3 Replies
2K Views
-Model 1999 -Transmission MANUAL -In excellent condition -Pm only serious buyers,price 14.5m
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari, Nahitaji fundi wa kurekebisha sofa seti moja kwa bei nafuu na material ni juu yangu. Ni kitambaa cha sofa ndio kimechanika na nahitaji kubadilisha. Napatikana Boko Ahsante
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Philips desktop screen nchi 15.6 inauzwa elf 40...haipungui, ipo kigoma mjin. Contact: 0762990097
0 Reactions
0 Replies
419 Views
Jiko linauzwa elf 60...bado halijatumika Lipo kigoma mjin...mtaa wa Mlole Mawasiliano ..0762990097
1 Reactions
0 Replies
433 Views
Wadau habari za mihangaiko. Naomba kujuzwa bei ya container tupu la futi 20 kwa Dodoma mjini. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
4 Replies
7K Views
Wakuu zile adapter kwa ajili ya kucheki DSTV bure zimewasili kutoka China jana. Nimezitest zipo powa. NB: Hizi ni mpya sio zile za hawk wala sio zile za dongle zinohitaji dishes 2......hazina...
0 Reactions
43 Replies
5K Views
Habari za asubuhi wadau, naomba mnielekeze sehem au duka wanapouza table tennis na vifaa vyake vyote kwa Dar es Salaam.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau naomba kujua mahali nitakapopata scree ya pc
0 Reactions
4 Replies
965 Views
Namba DEE Mwaka 2003 Engine size ni cc 1,490 Ipo kwny hali nzuri, inatembea, tairi mpya radio, seat cover n.k Bima mpya Engine kavu, Imetunzwa sana! Location: Udsm/Ubungo Call/WhasApp 0764875468...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Karibuni wapendwa Upate Dagaa fresh kutoka Mwanza PM iko wazi kwa yeyote anayehitaji Tunapatikana ARUSHA.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
..
0 Reactions
4 Replies
756 Views
Na hitaji kujua Ndizi Mzuzu zinapatikana mkoa gani kwa wingi
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Back
Top Bottom