NISSAN BLUEBIRD
KM - 55K
CC - 1490
YEAR - 2006
FUEL - Petrol
SEATING CAPACITY - 5
BEI - 13.5M
Big Interior
Full AC
Full Documents
In mint condition
Gari ina muda mchache toka iagizwe iwahi...
Kama kichwa cha habari kinavyosema eneo ni ekari tatu kamili barabara ipo viwanja vimepimwa karibu kabisa na hapo. Shamba linafaa kujenga, kupanda miti, kahawa na kilimo cha kawaida bei milion...
Kiwanja kina ukubwa wa 800sqm na ni cha 3 kutoka lami ya kibada, km 14 kutoka feli..kiwanja kimezunguushiwa fenc bado geti tu.
Bei 32m
Maongezi zaidi chek na mimi kwa 0756060183
Ninaiondoa mikononi mwangu simu yangu kwa bei ya Tzs 150,000 tu (Non negotiable) nikiwa nimeitumia kwa kipindi kisichozidi miezi minne tu
Brand: iPhone [emoji336]
Model: 5s
Storage: 16Gb
iOS...
Napenda kuwa julisha kuusu kampuni yenu pendwa kuwa sasa inausika na shughuli zote za uchapisha(printing)
Ikiwemo;
business card, Brounchure, Flyer, posters and videos production.
Kwa...
Habari wakubwa! Kikundi cha wanateknolojia kilichopo Dar es salaam kinatoa nafasi za kazi kwa freelancers popote pale hata nje ya nchi. Hakuna ajira isiyokuwa na changamoto ila ukifanya kazi kwa...
Wakuu habari!
Niko na shida ya kupata hizi mashine kwa haraka mno. Mashine hizi zote zinatumika kwenye kukunia nazi.
Anayejua zinakopatikana, na bei na hata mawasiliano anisaidie please.
Ahsante!
****Ni dawa ambayo utatumia pia ukiwa unafanya mazoezi ya kawaida kwaajili ya matokeo mazuri na mabadiliko ya haraka****
ONDOKANA NA TATIZO LA;
- Unene na uzito wa kupindukia
- Vitambi kwa...
Habari wrote,
Naomba niwaaahirikishe jambo moja .Nikiwa mmoja wa wadau nikishirikiana na taasisi ya serikali inayojulikana kama National House Building Research Agency ,ambayo inapatikana mwenge...
Habari wandungu....nihjtaji kukodi gari kwa matumizi ya siku mbili dar es salaam. Kagari kadogo saloon car kama ist au mark 2 grande itafaa. Mwenye kutoa huduma hiyo please inbox me.
Nahitaji frem kwa ajili ya kufungua duka la mahitaji mbali mbali ya nyumbani chumba kisizidi 60, 000 kwa mwezi. Kama upo jijini msaada tafadhali mi niko songwe so mda wangu wa kuja jijini ni finyu...
Nyumba ipo kijitonyama Afrikasana na haiko mbali sana na shekilango road,na pia iko jirani na soko la Afrikasana.
Vyumba 4 self, nk
Size plot 400 sqm
Bei 300m
Maongezi zaidi 0756060183
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.