Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu habarini, nipo hapa kuomb msaada kwa yyte yule ambaye yupo china au aliwahi kupata scholarship ya china nahitaji msaada wake wa haraka. Natanguliza shukrani
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kazi za ndani - Dar es Salaam (kwa mschana miaka18-20). Tuma SMS na Jina, Unapoishi wapi, Umri, Namba ya Kitambulisho cha Taifa. 0714010010
0 Reactions
5 Replies
684 Views
Nauza laptop HP ni used lakini cosmetic wise in nzuri sana ina 1TB , taarifa zaidi piga simu 0712652110 .Dar
1 Reactions
6 Replies
958 Views
Receptionist/Front Desk position available immediately. Posta area, Dar es Salaam. 0714010010. Strictly no emails, or fake spam-CVs or smiley photos! Our boss doesn't need models but you must...
0 Reactions
5 Replies
829 Views
Hello Everyone Ninafungua a new Whatsapp group kwa wadau wote wa Movie,Series It is an Exclusive group yenye kiingilio Najua wengi mtakua mmeshangaa baada ya kusikia kuna kiingilio Here is why...
2 Reactions
54 Replies
4K Views
Habari , kama kichwa cha habari kinavojieleza nauza vitu vifuatavyo vikiwa katika hali nzur sana, Carpet /zulia la manyoya mengi-135000 Dressing table nzruri ya mbao -85000 Kochi la watu...
0 Reactions
20 Replies
6K Views
Infinix s3 RAM 3GB ROM 32 Battery mah 4100 Android 8 Fingerprint sensor Camera 21mp Bei 250k Location Dar es Salaam Whatsup call msg 0657230449
0 Reactions
2 Replies
751 Views
Za sahiz wadau,naomba kuuliza kwamba fremu ya biashara mwenge naweza kupata kwa gharama gan kwa kila mwezi?
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari wakuu, Natafuta tairi na rim saizi 12 za suzuki carry . kwa anaeuza used(za zanzibar) au mpya tuwasiliane kwa haraka PM tufanye biashara. Asante.
0 Reactions
0 Replies
862 Views
..
0 Reactions
8 Replies
1K Views
tv yangu ina mstari wa kutoka juu mpaka chini.nipo temeke. karibu unitengenezee
0 Reactions
3 Replies
2K Views
naomben msaada jaman natafta KaZ ya duka.. m pesa, chips bucha na zngnezo contact 0685876726
0 Reactions
0 Replies
425 Views
habari wadau.. nauza brand new projector aina ya acer x 115 dlp ina lumens 3300 bei ni laki 6 kamili. sababu ya kuuza ni sijaitumia na naona sihitaji tena.. nina biashara ya photo studio na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za leo wana JF naomba kuuliza ni mtaji kiasi gani utanitosha kufungua duka la vyombo vya nyumbani niko Bumbuli Tanga
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Shamba LINAUZWA ukubwa wa ekari 16 Lipo mkuranga njia ya Kibiti bei ni 1,000,000/ @ ekari moja. Karibu kwa anaetaka
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wanajukwaa; Kama kichwa cha habari kinavyosomeka ninahitaji computer desktop kwa ajili ya watoto kujifunzia. Budget ni 200,000/=tzs. Kama unayo nicheki kwa namba 0765-741-591Kwa kutuma...
0 Reactions
0 Replies
635 Views
Kwa hekima na busara zenu Wadau nahitaji kununua SIMU mpya dukani Naombeni msaada wa kujuzwa aina nzuri ya simu yenye uwezo mzuri wa internet ya laini mbili kwa kampuni yoyote inayo toa SIMU ORG...
0 Reactions
2 Replies
507 Views
Kujifunza na kujua kuzungumza lugha ya kichina,wote chinese bridge training center inawatangazia wote ambao wangependa kujifunza lugha ya kichina nakujua kuizungumza kwaajili ya utalii,biashara na...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom