Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa sababu nisizojua, kanisa moja mjini kwetu limefungwa, na mali zake zote zinauzwa. Pamoja na vitu vingine, kanisa hilo lilikuwa linamiliki broadcasting station ya kisasa yenye 330kW Digital UHF...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Habari wakuu Natafuta sehemu wanapouza magazeti (yale yanayotumiwa kufungashia vitafunwa kama maandazi,vitumbua n.k) kwa bei ya jumla
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salamu nyingi wadau wa JF. Leo nimekuja kivingine kabisa sio muziki bali ni biashara. Uwanja unauzwa kinyerezi. Umepimwa na anayeuza ni Mama yangu mdogo. Ukubwa ni urefu ni 54.6 Mita kwa 48.29...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Jipatie vijiti vya kuwashia mkaa(moto) kwa Tsh. 750/= jumla na Tsh. 1000/= reja reja. Kwa Dar unaletewa hadi ulipo na mkoani tuna tuma pia. #0620479092 #KijitiKimojaTuKinawashaMkaa
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Habarini? Ndugu zanguni anayejua wapi nitapata au mwenye t-shirt V-Shape rangi ya njano sample pichani hapo, zinahitajika haraka pc kama 100 hivi. Bei iwe kawaida ile ya jumla karibu na ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kama unataka kuuza au kununua chochote kati ya: gari, simu janja (smartphone), kompyuta mpakato (laptop), na "furniture" (samani za nyumbani). Njoo PM nitakuuzia au kukutafutia kulingana na bajeti...
0 Reactions
0 Replies
891 Views
Ukubwa: SQM 560 (25.5m × 22m) Kipo rwamishenye, Bukoba Manispaa. Ni km 3 kutoka katikati ya mji. Kina documents zote, huduma zote zipo maji, umeme, access ya barabara nzuri tu. Kipo mjini kabisa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu Niko Zanzibar nahitaji fudge kama 2 hivi, ni vitu gan vya kuangalia ili kupata fridge iliyo imara, na ni maeneo gan naweza pata mzigo
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anahitajika mpishi wa jinsia yoyote mwenye uzoefu wa kupika vyakula vya aina mbali mbali na vitafunwa. Mgahawa upo kijitonyama karibu na chuo cha ustawi. Mshahara atalipwa sh. 120,000 kwa mwezi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habarini wanaJF Mimi ni mjasiriamali mwenzenu toka Tabora nauza asali mbichi ya nyuki wadogo na nyuki wakubwa haijachakachuliwa hata kidogo, hutojutia ukinunua asali hii...bei ni poa karibu na...
0 Reactions
27 Replies
8K Views
WAKAZ WA DAR NAOMBENI BEI ZA MASOKO YA BIDHAA ZIFUATAZO KWA BEI ZA MADEBE/NDOO LITA 20,AU KWA KILO,soya,ulezi,mahind lishe,ngano na UFUTA
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Wadau, nipo kwenye mchakato natafuta gari toyota ist iwe namba C au D, kwa aliye serious anichek WhatsApp no 0758204681
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MSALLAMO AGRO ENVI CO.LTD Majitaka imekua ni tatizo sana miongoni mwa watu wengi hapa Tanzania na dunia kwa ujumla; Makazi mengi yamekua hayavutii wala kuthaminiwa kutokana na miundo mbinu hafifu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wanajamvi.... Nimefanikiwa kufika hapa kwenye mambo ya ujenzi pembezoni mwa jiji...., baada ya kusimama kwa muda sasa nimepata 4.2 milion kwa ajili ya kuezeka. Napenda sana zile bati za rangi...
4 Reactions
77 Replies
33K Views
Zifuatazo ni pairs tutazotrade wiki hii na mwelekeo wake katika forex market Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Sumsung Tab A, ina RAM 2GB, storage 16GB, inatumia SIM card pia na Wi-fi. Ukubwa wa screen ni 9.7 inch model yake ni SM-T555. Ipo full boxed pamoja na shell yake OG. Inapatikana kwa Sh. 290,000...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu kama kichwa cha kinavyoeleza. kama, binafsi mimi ni muuzaji wa bidhaa za ujenzi ambazo naweza kuzijumauisha katika makundi makubwa matatu, bithaa za umeme, bidhaa za mabomba ya maji safi na...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu vipi, Natafuta Dealer au Duka wanalouza vifaa vya Generators za Perkins. Shida yangu hasa ni kupata Filters Za oil na diesel, casing zake na Hata ijiwezekana Cap zake nahitaji
0 Reactions
4 Replies
854 Views
Natafuta fremu ya biashara maeneo ya ubungo na kimara baruti. Nicheki kwa PM
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom