Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
website inauzwa pamoja na youtube, social networks adsense na google application yake iliyounganishwa na admob.. price 600,000 maelewano yapo. http://bit.ly/JamiiForumz
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wadau kuna jamaa amekwama hapa anapush ndiga yake urgently, mpaka hivi ninavyoongea yuko nayo kazini kwake. Iko Mwanza 0686527039
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wiki kadhaa zilizopita niliwasilisha thread hii hapa 👇. https://www.jamiiforums.com/threads/hawa-jamaa-ni-waukweli-au-wapigaji.1595188/ MREJESHO: Jamaa wamekuwa waaminifu nimepokea parcel...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa mahitaji yako ya Laptop na vifaa vyake kama Adaptors, keyboards, screen, batteries na kadhalika wasiliana nasi kwa namba 0655 770716 / 0755 770716
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta Drum unit for IR ADV C3520, na clean blade. Mwenyenavyo tutafutatane
0 Reactions
3 Replies
572 Views
Habari wakuu, nauza incubator yangu ya mayai 300 imetumika miezi minne. Incubator ni automatic, inatumia umeme, made in China. Iko vizuri sana,sababu ya kuuza ; nimefunga mradi wa kuku chotara...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Jipatie Printer Used ya Epson L382 kwa gharama ya TZS 350,000.Maongezi kidogo yapo Kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa PM Karibu
0 Reactions
1 Replies
693 Views
Gitaa la galaton hakuna uchina, Spanish sound njoo ubahatike wewe mdau wa muziki na rhythm nzito nichek 0688884385 Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Ni printer Mpya Kabsa haijawahi kutumika utaanza kuifungua wewe mwenyew mm niliagiza so zikaja mbili mfululizo na niliagiza kwa bei ya jumla na dukani inauzwa 1250000 hadi 1200000 Kazi yake Ina...
1 Reactions
20 Replies
10K Views
wajumbe kwa sasa sokoni bei ya karanga tsh ngap kutoka shambani kwenda sokoni kwa mwaka 2019
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Kwa mtu mwenye kuhitaji Berti ya Laptop model zifuatazo awasiliane nami nimuagizie kutoka nje na kuzipata ndani ya siku 4 tu Dell 1520/1525/1545 (75$), Dell D610/D620/D630 (70$), Dell 6400/1505...
0 Reactions
7 Replies
7K Views
Habari za muda huu wana Jamii forums. Nauza internal hard drive ya desktop yenye ukubwa Wa GB 4000 tera byte 4. Hii inafaa sana ofisi zinazohitaji space kubwa kuhifadhi data mbalimbali. Pia...
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Nauza laptop yangu HP proBook 6560b Processor : Intel core i5 RAM :8GB Hard disk : 720GB Bei Tsh.250000/= laki mbili na nusu Nina shida na hela ndo maana bei hiyo Anaehitaji anichek kwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nauza laptop yangu nzuri kabisa(well handled) Processor-1.5, RAM -4GB ,HARD DISC 320GB. with WEBCAM Mwenye kuhitaji anitafute call/whatsapp 0762466293(currently nipo Zanzibar ila naweza kukuletea...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau naomba mwenye kuuza mzani wa kupimia nafaka mashineni unaopima hadi kg 100 tuwasiliane nipo Mwanza mjini. Pia kwa wenyeji wa Mwanza unaweza kunisaidia mahali inapouzwa kwa bei nafuu.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
SOLD
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Umoja wa Ulaya (European Union) wametoa ruzuku kwa Taasisi za kiraia nchini Tanzania. Ruzuku hii ina lengo la kuisadia Serikali katika kutekekeleza mipango ya maendeleo ya kilimo, hususani...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naomba msaada,unakuta gari iliyotumika bongo mtu anauza mil 8,ila ukienda be forward bei yake labda $2300 na gari niya kuanzia mwaka 2000+,ukipeleka details kwenye calculator ya TRA unakuta...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kama kichwa cha uzi kinayojieleza naomba mwenye ufahamu wa mahali naweza kupata hiyo simu tajwa hapo juu ni ya kitambo kidogo, hata kama ni used iwe na condition nzuri
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Maeneo yanayohitajika ni mbezi beach, Bahari beach, mikocheni, Masaki, ostebay, Nyumba iwe ya ghorofa na atlist uwanja usipungue 1500sqm Ofa kwa mbezi beach 400m na kwa maeneo hayo mengine...
0 Reactions
2 Replies
886 Views
Back
Top Bottom