Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
habari waheshimiwa nina non hosted account ya adsense inauzwa na ishapata barua price ni 100000 maongezi yapo njoo pm tubonge nipo dsm km ukitaka tuonane face to face tufanye busness flesh tu
1 Reactions
2 Replies
572 Views
Kwa yoyoteanaejua wapi naweza kupata yale magazeti ya kiarabu au yale meupe ambayo hayana maandishi naomba anijulishe.. Nayahitaji kwa wingi sana,huwa yanafungwa kwa kilo 15-20 kwa kila bando moja...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta mtu anayeweza kuandika vizuri kwa mkono, Mwenye utayari karibu inbox. Malipo yapo. Deadline 20th July 2019
1 Reactions
3 Replies
816 Views
Habari, Naomba nikusadie namna ya kujiunga na huduma zetu bora kabisa za maxmalipo. Ni rahisi sana. Andaa document copy ya vifuatavyo kwa ajili ya mkataba: 1. Leseni ya biashara 2. TIN no. 3...
2 Reactions
26 Replies
9K Views
specifications zake. • camera rear 8megapixel front camera 13megapixel • RAM 2GB internal storage 16GB •Battery 72hrs •selling price 90k (ni fixed price) location dodoma mjini. NB: hii simu...
0 Reactions
2 Replies
693 Views
[emoji654]️OFISI IPO MAGOMENI MAPIPA MTAA WA IDRISA UPO UPANDE WA KUSHOTO KAMA UNATOKA KARIAKOO AU JANGWANI [emoji654]️WARRANTY MWAKA 1 [emoji654]️INA RADIO, BLUETOOTH, AUX INPUT, USB PORT, MEMORY...
1 Reactions
17 Replies
5K Views
Guest house inauzwa buguruni sokoni. Zipo 2, zote zinauzwa million 120. Zote zina vyumba zaidi ya 9 some self contained some not. Kwa maelezo zaidi wasiliana na simu namba, 0742930901 au...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Uzi huu unaandikwa na kijana msomi , mtaamu wa masuala ya umwagiliaji kutoka chuo kikuu cha sokoine cha kilimo (SUA) Faida za umwagiliaji kwa njia ya matone 1. Matumizi kidogo ya maji , kila...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Wakuu Nataka kuanza miliki gari, nataka Toyota Ist na Toyota wish, ambazo zipo ktk hali nzuri kati ya gari hizo mbili mojawapo nikipata iliyo vizur tutafanya biashara. Pesa yangu ni M 7. Nb...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari, Zinapatikana spare parts Toyota Starlet. Bei ni poa kabisa, Parts zipo Dodoma, mikoani zitatumwa. Njoo PM
0 Reactions
0 Replies
501 Views
natafuta laptop iliyopo kwenye condition nzuri Ram kuanzia mbili Internal 250 Gb
0 Reactions
6 Replies
664 Views
Habarini wanaJF, Nahitaji mabati yaloyotumika, yawe Dodoma hasa mjini. Mwenye nayo PM tafadhali
1 Reactions
2 Replies
2K Views
VIWANJA HIVI VIMEPIMWA NA VINA HATI TAYARI Vipo kuanzia 500sqm -2200sqm! Vipo 25 kati ya hvyo kuna vya makazi na biashara (cr) VIPO KEREGE MATUMBI MBELE YA BUNJU B 1 km to bgmy rd! BLOCK F...
3 Reactions
6 Replies
3K Views
Tunachimba visima pamoja na kufanya underground water survey. Pia tunafunga pampu za mkono (Mdundiko),pampu za umeme pamoja na pampu za solar kwa ghalama nafuu kabisa. Tupo Dar es salaam Chanika...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
-Tunadeal na kuchomea vifaa vya chuma,aluminium,garvanized,stanlesstil n.k -Pia tuna desgned kitu chochote cha chuma kuanzia vitanda madishirisha na vitu vingne -Pia tunamashine ya kisasa ya umeme...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mwenye mbegu ya nguruwe duroc au pietrain kanda ya ziwa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza nyumba Morogoro Kihonda Veta (Yespa) ina vyumba vinne Kati ya hivyo viwili ni self, sitting room, Public toilet,jiko, dinning na stoo na choo Cha nje .Nyumba bado haijafanyiwa finishing...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
KARIBU KIMOMWE MOTORS KWA HUDUMA YA KUAGIZA MAGARI KUTOKA JAPANI. TUPO MAGOMENI MAPIPA MKABALA NA KITUO CHA MWENDO KASI, JENGO LA RUBEYA, GHOROFA YA KWANZA. MAGARI AINA ZOTE TUNAAGIZA NA GHARAMA...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
NYUMBA INAUZWA NKUHUNGU Vyumba 3 viwili ni masters Sebule Dining open kitchen Pia ina servant quarter kwa nyuma ya nyumba yenye chumba+sebule.Pia ina servant nyingine ambayo haijakamilika...
1 Reactions
27 Replies
8K Views
MAHALI-Michese KWA WASIOPAFAHAMU MICHESE -Michese ni barabara ya iringa -kufika michese unapita barabara ya vumbi inayokatiza mirembe-kikuyu-usalama wa taifa na kufika michese -michese inapakana...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom