Kama tangazo linavyojieleza naomba nifahamu jinsi ya kusafirisha samaki kwenda Omani bei jinsi ya kuwahifadhi na usafiri hasa kwa njia ya ndege
Sent from my SM-N910F using JamiiForums mobile app
Kwa wale wapenzi wa nyumba bora za kisasa ni wenu sasa.Nyumba inauzwa 80m maongezi yapo.
Nyumba ipo 45km kutoka Dodoma mjini kuelekea Iringa katika kijiji kinaitwa mlowa barabarani.
Nyumba ipo...
Hello guys karibuni tuwahudumie vyote hapo juu ... U can either buy and we transport for you or let us supply you all ur need ...at our best negotiable price
Contact us on +255715041210
Karibuni
FEEDBACK/MREJESHO UNAJIELEZA.....TUNAVYOSEMA MAFUTA NI YA FAMILIA KUANZIA MTOTO ALIYETOKA KUZALIWA(NEW BORN) MPAKA MZEE WANAWAKE NA WANAUME HATUDANGANYI GIFT OF TANZANIA 100% COLD PRESSED YANA...
WORLD 100 STUDIO
huduma tunazotoa
-Send off
- Kitchen party
- Wedding
- Pre wedding
- Kipaimara
- Documentary
- In door photo shoot
- Out door photo shoot
KWA MAHITAJI TUPIGIE 0655 33 66 60...
Habari wapendwa.....Nauza handbags kutoka china moja kwa moja hazijakaa kariakoo wala mahali popote kwa jumla ni 30 na reja reja ni 38 ni punguzo la bei kutoka efu 45..Pia hzo za pundamilia znakaa...
Habari ya asubuhi wapendwa khari ya mwaka mpya ndugu natarajia kuvuna nyanya zangu shamban ili kuondoa ukata wa January natafuta bei nzuri ya nyanya kuanzia tenga 50 Na kuendelea katika kipindi...
kama kuna mtu anafahamu wanapouza power tiller hapa tanzania naomba anijuze na bei yeke pia kwa mwaka huu 2019 nataka kununua kwa ajili ya kilimo
nawasilisha
Habari,
nauza vifaa vya srudio kama vile:
M AUDIO BX8 = 750,000
M AUDIO BX5 = 450,000
PORTABLE MIXER 200,000
MIC KUANZIA 250,000 MPAKA 900,000
iMAC DUO2 RAM 4GB HDD 500 = 450,000
Kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.