Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Sold... Vimeuzwa tayari.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nileteeni kitanda na godoro lake Og bei poa pesa mfuko wa shati mbele kbsaa imetulia kaz kweny Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf Kwa wale wakazi wa dodoma, napenda kuwatangazia kuwa napika chakula na kusambaza maofisini, site, majumbani au kwenye biashara. Ukiwa unahitaji chakula na upo maeneo ya mjini...
4 Reactions
8 Replies
973 Views
Nahitaji pikipiki used kwa ajili ya matumizi binafsi. SPECIFICATION; -iwe katika muonekano mzuri sana. -iwe na document zake zote. -bajeti ni 600000/= tsh. -morogoro au arusha. na sehemu nyingine...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar ndugu zangu wa JamiiForums Naomba kuulizia hivi hzi game Za kisasa ambazo Mtu anavaa kichwan VR halafu anapewa controller mikononi kisha aanza kucheza hapa mjin Dar es Salaam zinapatikana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza nyumba Morogoro Kihonda Veta (Yespa) ina vyumba vinne Kati ya hivyo viwili ni self, sitting room, dinning na stoo, Public toilet, jiko na choo cha nje. Bado haijafanyiwa finishing. Ukubwa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Samsung Grand Prime Pro 2018 Yenye Kioo cha SuperAmoled touchscreen Full boxed Condition. Brand New 5 Inch Display Processor 1.4GHz GPU Snapdragon 425 Soc 8MP Rear Camera + Flash 5MP Front Camera...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
TURN NIGHT TO BRIGHT(POLARIZED VISION GLASSES) Ni miwani mizuri sana kwa madereva wa gari na pikipiki,inasaidia kuona vizuri usiku ukiwa unaendesha ,kwa kupunguza mwanga mkali wa taa za...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu kiwanja kinauzwa maeneo ya Kisemvule karibia na maeneo ya sokoni, kina ukubwa wa ekari moja, Bei ni Milion 80 kwa mawasiano zaidi napatikana kwa namba: 0765301402...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Anayefahamu bei wa sound Kama h bei aniambie nataka nifungue sound ya Biashara kwenye macherehe Na mahafali mbalimbali Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
1 Replies
35K Views
Jipatie simu bora aina ya iPhone 5c toka Babuu & Company Ltd Inayokuja na uwezo wa •1gb ram •16gb internal •available in white,green,yellow,red & blue colour KUMBUKA °Simu zote ni mpya/Brand...
0 Reactions
0 Replies
638 Views
Wakuu naomba kufahamishwa maduka ya vifaa vya ulinzi app dar yanapatikana wapi. Nataka vifaa Kama Mapanga marefu ya kininja,nguo za kikomando na dhana mbali mbali. Bill kusahau zile tochi kubwa za...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Husika na kichwa cha habari hapo juu, ningependa kufahamu ni mahali gani pale kariakoo nitaweza kupata zile bidhaa za kutengenezea sabuni. Ahsanteni, na muwe na mchana mwema. Sent using Jamii...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama unaweza kufundisha masomo ya sayansi kwenye shule ya mchepuo wa kiingeleza(english medium). Tuwasiliane ujipatie ajira. Nipm ntakujibu
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Laptops zipo kwenye very good condition(almost mpya) Whatsapp/Call 0719573444 Lenovo Thinkpad T440s RAM:4GB HDD:500GB Processor:Core i5 4th gen with 2.6ghz speed Graphics:intel HD Graphics 4400...
0 Reactions
3 Replies
958 Views
Watu wote wenye kuitaji ushauri binafsi wa biashara ni pm tufanye biashara kwa garama ndogo. Malipo ufanyika kwa Tigo au mpesa katikati ya ushauri na mwisho wa ushauri. Biashara yeyote natoa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wakuu.mwenye kujua soko la Asali nje ya nchi anipe taarifa
1 Reactions
24 Replies
9K Views
Hello wakuu nahitaji radio ya Nissan x-trial 2004 Please call whatssap 0622388152 now Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ALTEZZA HIYO HAPO 9.5 MILIONI, MAONGEZI YAPO KIDOGO, ZAIDI NJOO INBOX
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Habarini wakuu. Nimekuwa na kampango ka kuanza biashara ya kuprint tshirts, na moja kati ya vitu ninavyovitaka ili niweze kufanikisha biashara hii ni plain tshirts. Nimejaribu kuangalia...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom