Habari ba ndugu, Kwa mwenye interrest plz.
Njoo nikuuzie gari hii
Haina tatizo nambari D
Make:Toyota
Mdel: Hiace Van
Colour: White
Body Type: Van Body
INSUARANCE:23/03/2018
INAMATUMIZI YA...
Make Toyota
Model hiace
Engine 3L
Body type Superoof
Condition used in excellent condition
Asking price 25 million.
Contact 0769 524 022
Location Mwanza
Habari wana JF
Kuna pagala linauzwa lipo Kitunda magohe.
Lina vyumba vitatu kimoja ni master room.
Eneo la kiwanja ni kubwa sana unaweza jenga
nyumba nyingine, eneo ni 40 * 80.
Kwa...
Chumba na sebule self kinapangishwa.. Kipo suka mita hamsini tu kutoka morogoro road
Services
Car parking
Maji ya dawasco
Umeme mnashare wawili tu
Feni la juu
Contacts 0658204046
Sent using...
karibu tukupatie huduma ya kubadilisha combination kama hazija balance, na machaguo yako kama ulifaulu ili kupata shule au chuo, kwa waliohitimu 2018. Tarehe ya mwisho ya ubadilishaji ni 15 april...
Kwemaa! Kuna anayeweza nipatia
Mafuta ya kula kwa bei nafuu au kama anaweza niuzia alizeti, ufuta toka shambani...
Au Kiwanda chochote nachoweza pata mafuta mazuri niuze jumla na rejareja...
JUMBA LA KIFAHARI LENYE NAKSHI ZA KISASA LINAUZWA..
MUUNDO WAKE
Ni nyumba ya vyumba vinne(vyote ni master)
Pia ina;
-dinning
-sitting
-jiko kubwa lenye makabati
-public toilet
-store
-parking...
Wadau natafuta mentor wa forex ambaye yuko Arusha.Nataka nijifunze hii biashara.
NB:sitafuti kununua signals wala mtu wa ku manage account yangu,nataka kujifunza forex.
Tumekuletea mfumo wa kupiga pepa popote pale ulipo.Pakua mtihani fanya na majibu yapo papo hapo ukimaliza ujipime,wewe binafsi au hata mkiwa kikundi.
Pia kwa Walimu ni fursa kwako kujipatia pesa...
habari wapendwa kitanda na godoro vinauzwa kwa sh.180,000 tu.
vyote vinapatikana Dar es Salaam,
tegeta- mbuyuni
naomba tuwasiliane kwa
0744505170
au whatsapp no: 0716 345089
karibu sana vyote...
Kiwanja kina ukubwa wa mita 25 kwa mita 20
Kiwanja kiko juu juu kwenye muinuko mzuri na unayaona manzari yote mazuri ya mji.
Km 3 kutoka bagamoyo road na 1 km kutoka Goba road
Bei 16.5m...
Habari Wana jf ,YALIN global limited inapenda kukutaarifu kupatikana kwa misumari ya bati ya 25kg Kwa Bei Kati ya 78000, 75000 na 70000 .Karibu unufaike ,tunapatikana dar ea salaam maeneo ya...
Nokia 2 for sale
5.00-inch touchscreen display with 720 x 1280 pixels resolution.
1.3 GHz quad-core Qualcomm Snapdragon 212 processor
1 GB of RAM and 8 GB of internal storage expandable up to...
Jipatie simu bora aina ya iPhone 5c toka Babuu & Company Ltd
•1gb ram
•16gb internal
•available in white,green,yellow,red & blue colour
KUMBUKA
°Simu zote ni mpya na original
°Full boxed na...
Wakuu habari zetu?
Nahitaji kubadilisha cover la simu yangu aina ya Xiaomi note4 lakini nimezunguka maduka mengi ya simu Posta na baadhi Kariakoo sijafanikiwa kupata duka linalouza simu aina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.