Ndugu wanajamii wenzangu habari ya siku nzima?
Naombeni ushauri wa flat screen ipi nzuri naweza chukua kwa gharama nafuu ambayo haisumbuwi, ninabajeti ya laki tano(500,000) tu.
Natanguliza...
Habarini yeyote anaeweza kuniunganisha na vijana wawili wanisafishie eneo langu (site) lililopo mtoni kijichi tafadhali awasiliane na mimi pm. Nawahitaji siku ya j4
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajamvi habari yenu....naombeni msaada..nataka kununua beli LA pochi grade 1 ili niuze rejareja.naomba kufahamu pa kupata hayo mabeli na bei tafadhari
Jamani nauza mashine ya kuranda na kuchana mbao ni mpya imetumika miezi mitatu tu ninashida zakifamilia ipo Dodoma wilaya ya kongwa kwa aliye tayari tuwasiliane kwa namba 0713026995. bei ni sh...
Wakuu nimeanzisha kilimo cha mipapai.
Nilitegemea nitumie mvua za masika ili kupunguza gharama za umwagiliaji, lakini kwa bahati mbaya mvua za mwaka huu si nyingi.
Nimepata wazo la kuwa na...
Habari members. Natafuta samsung dealer ambaye yupo dar. Dealer anayeuza simu za samsung, kama upo nakuomba PM tuongee zaidi tujue tunaonanaje tuweze fanya biashara.
Asante. Karibu
Wanandugu leo nawaletea mbegu za maboga zilizookwa. Hizi ni mbegu zilizoandaliwa kwa mazingira bora kabisa kuahakikisha kiini kinabaki na afya yake bila kuungua huku ukila mbegu tamu kabisa. Mbegu...
Heshima kwenu wadau..
Nauza T-Shirt heat press, heavy duty, nzuri kabisa for transfers image and logo on T-Shirts, namba na majina kwenye jezi za michezo.. kuprint leso, vitambaa etc
Mpya kabisa...
Nauza Computer zangu (zipo 5) Ambazo nilizinunua Mwezi wa 1, 2019 na Kuzitumia kwa Mwezi Mmoja tu Kisha nikaziweka Stoo, Kwasasa Nina Ziuza Zipo 5, Pia ukuacha Computer nauza Viti na Meza ambazo...
Wanajamvi habari.
Nimefatilia taifa la Israeli kwenye swala la food technology and processing wako vizuri pamoja pamoja na mazingira waliyonayo.
Hivyo basi nikiwa namalizia degree yangu ya Food...
CAR FOR SALE
MAKE ; Toyota
MODEL ; Prado
COLOUR ; Silver
Cc ; 2690
YEAR ; 1999
NUMBER ; C
ENGINE ; 3RZ
PISTON ; Four
IMPORTED YEAR ; 2013
MODE OF TRANSMISSION ; automatic
FUEL USE ...
Gari Toyota Chaser kama inavyoonekana kwenye picha hapo, gari ni nzima kabisa inatembea yaani unaweka mafuta na kuondoka na nyaraka zote zipo njoo na fundi wako unayemwamini ujiridhishe,
Bei ni...
Kama inavyoonekana kwenye picha bado mpya ilinunuliwa bahati Mbaya . Inauzwa kwa bei ya hasara .Bado ina wino wake original na haijatumika hata kidogo , call or whatsap 0712 916 831
Bei...
AL-TIMIMY TECHNICIAN
Kwa wale wenye Juice Dispenser ambayo haitoi ubaridi unaoridhisha au mbovu na umehangaika nayo sana usisite kututafuta sisi tutaitengeneza na kuifanya iwe na ubaridi wa...
Habari Wana JF
Leo nataka niwaeleze juu ya mbegu hizi ambazo zinatatua matatizo mbali mbali kama vile kupunguza unene pindukia, kutatua matatizo ya presha, kisukari, mmeng'enyo wa chakula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.