Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
CHUMBA KIZURI, KIPO ENEO TULIVU, KONA YA KUINGIA TEGETA 'A'. KAMA UNAHITAJI, TUWASILIANE KWA 0654308809. KARIBU.
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Nitaiuza kwa sh.2,300,000 badala ya 2,600,000 bei ya awali Karibuni tufanye biashara mashine iko vizuri kabisa kama inavyoonekana kwenye picha saizi ya meza ni inch 12. mawasiliano 0713026995 karibu.
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nauza majiko yenye teknolojia ya kisasa kabisa ambayo inajua kubalance matumizi ya KW za Tanesco yahan mpk raha.ndugu wanajf mi mwenyewe ninapozungumza na nyinyi nimeanza kutumia hili jiko tangu...
1 Reactions
45 Replies
20K Views
Wakuu nimekwama nauza kiwanja changu Kipo Mtaa wa Magaka Kata ya Kahama katika manispaa ya Ilemela Sifa za kiwanja:- [emoji117]Kimepimwa [emoji117]Ukubwa ni hatua 20 kwa 24(Urefu na upana)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari za jioni wadau poleni na majukumu.Mimi naomba kujuzwa maduka yanayouza pamba kali na original.Sitaki nguo mdosho ambazo zimezagaa kila mtu anayo mtaani.Pia nilikuwa naulizia ninapoweza...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari guys! Naenda nje ya nchi kupiga mishe huko nauza vitu vyangu vya ndani *.Kitanda+godoro+net ya kisasa 5*6 nilinunua vyote kwa 435000 *.Dish la dst nilinunua 79000 *.Sofa la watu 3 na la...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Post deleted
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Nauza quartz kwa anaehitaji au kwa anaefahamu lolote kuhusu soko la quartz naomba anisaidie
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu kwamba nyote muwazima wa afya, na mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Ningelipenda kuchukua nafasi hii adhimu, kutoa PONGEZI zangu za DHATI kwa Asasi za Kiraia (Civil...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari Nauza kiwanja, ukubwa hatua 28 kwa 20. Kiwanja kipo Kigamboni jirani na daraja ya mwalimu Nyerere Kigamboni. Bei ni milioni 18. Usalama wa kiwanja upo kwani documents zote zipo na hatua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa anayehitaji Kiwanja kipo Goba 20x20, kipo sehemu nzuri tambarale, pia kuna barabara inayopita hapo, bei ni Tsh 6mil tu , Kwa atakaye hitaji anicheki 0656077998/0625545496 Sent using Jamii...
0 Reactions
0 Replies
493 Views
Habari, Nahitaji Mtu mwenye uzoefu wa biashara ya fedha katika mtandao(IQ & Mt4), nipo tayari ya kuchangia gharama. Asante
0 Reactions
6 Replies
858 Views
Habari, Nyumba safi ya kisasa kabisa inauzwa Mbagala,Chamazi wilaya ya Temeke,jijini Dar es Salaam. SIFA ZA NYUMBA HUSIKA; ~Ina jumla ya vyumba 4 na kimoja kati yake kikiwa ni master bedroom...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Nauza jiko kubwa LA chips,karai,jiko mishikaki,kabati unaweza tumia kwaajili ya chips au vitanwa,meza ,viti.vitu vyote vinapatikana gongolamboto kwa diwani.mawasiliano 0656984940 Sent using Jamii...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Kiwanja Kinauzwa kipo saranga Ukubwa meters 20*20 Miundombinu Barabara mpaka kwenye plot Umeme nguzo ipo Kiwanja hakiko level Bei 6.5m 0657230449 call msg WhatsApp Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za saa hizi wana jamvi. OmarExpress tech. Ni watengenezaji wa vitambulisho vya aina zote+business card. Napokea oda ya kutengeneza vitambulisho popote kutoka pande zote za tanzania. Pia...
1 Reactions
11 Replies
6K Views
Kiwe maili moja kibaha ukubwa kuanzaia 20*20 zaidi ya ho maelewano kiwe kimepimwa au kipo kwenye mchakato wa kupimwa bei tzsh,2,000,000 ambayo italipwa kwa awamu nne au tatu mawasiliano 0789721326
0 Reactions
2 Replies
757 Views
350k haina shida 0719090094 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
453 Views
Kwa wanaohitaji hizi huduma: Blog ya Kuombea matangazo ya Google Adsense bei 150,000/= (Itakuwa na Post 25 ambazo ni UNIQUE na Maneno kati ya 500-700, Nitaziandika kwa Siku 7) Kwa Adsense...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Engen 3rz Petrol Cc 2490 Full doc Ac kama uko mufindi Bei 14mln Gari haigongi.....chini,utafikiri imetoka jana Japan Kama uko interested nayo ni check 0715591141 nku link na mmiliki moja kwa moja...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Back
Top Bottom