Kuna sehem ambayo wanatoa mikopo ambayo haina masharti na vigezo sana.
Labda waombe tu kitambulisho na taarifa zangu.
Yaani kama mtu anataka kuanzisha biashara?
Nahitaji 1Mil.
Sent using Jamii...
Ipo makao makuu ya wilaya ya mvomero
barabara ya Morogoro -dodoma kama mita 800 hivi toka makao makuu ya wilaya na hospital ya wilaya
Pia iko jiran kabisa na lilipo eneo la stand ya wilaya na...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu natafuta line ya airtel money iliyo kazini na ww ndo uwe mmiliki kama hauifanyii biashara kwa sasa na naomba iwe na document zote halali za umiliki wake...
Kiwanja kina ukubwa wa 22×20 kipo Kibamba Hospital mtaa wa Mloganzila(Mji Mpya).Bei yake ni 5.5M.Maji ya Dawasco yapo karibu na yanatoka 24/7 na umeme ni wa kuvuta kwenye nguzo, pia kuna umbali wa...
Nauza Maziwa fresh 1900 kwa Lita.
Delivery service ni bure ukichukua kuanzia Lita 5
Kuanzia Lita 4 kushuka chini usafiri utalipia wewe nakuletea popote pale ndani ya dar.
Napokea oda za...
Kiwanja kipo morogoro eneo la Lukobe kina ukubwa wa 979 mita za mraba. Na kimepimwa. Kiwanja namba 166 block 8 kinafaa kwa makazi au Biashara bei ni m 6 tu hakuna maongezi 0652260304
DRIP IRRIGATION SYSTEM &GREENHOUSE (KWA GHARAMA NDOGO )
Hii ni njia ya kumwagilia mmea kwa kutumia tone(matone) la maji kwa muda husika, ambapo bomba dogo huundwa kwa kuwekewa matundu madogo...
Habari wana jf, Sisi ni Tawa water proffesional ni mabingwa wa kuchimba visima ndani na nje ya Dar es salaam tena kwa bei rahisi sana.Tupo Dar es salaam ila tunaweza pia kufanya kazi hata nje ya...
We edit English academic manuscripts/dissertations/Documents (Certificate, Diploma, Bachelor, Masters, PhD) for students.
Simply call to request our services.
Send us a softcopy of your document...
Habari za usiku huu wa jf,polen na majukum yenu niende moja kwa moja kwenye mada, ni sehemu ipi ambapo wanauza pikipiki kwa bei nafuu Mwanza??? Duka au chocho lipi???
Sent using Jamii Forums...
NIPPLE DRINKER SYSTEM inatumika kwa ajili ya kunyweshea kuku maji kwa usafi na ubora wa hali ya juu. (Vifaa vya kisaaa ambavyo hutumika kuwapa kuku maji ya kunywa)
FAIDA ZA NIPPLE DRINKER:-
1)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.