Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nauza Laser
0 Reactions
0 Replies
918 Views
habari wadau, mimi ninamiliki dikoda ya startimes (antena) inayoshika local zote bila malipo kama TBC1, ITV, STAR TV ,CLOUDS TV, ETV, EATV,CHANNEL 10, DIRA TV, SAFARI TV, UPENDO NA LIVING WATER...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Habari wana jf, karibuni mjipatie flat tv aina ya starx- led inch 32 kwa bei ya shilingi laki 400,000. Mikoani tunatuma, dar es salaam tunakuletea ulipo AU NJO OFISINI KWETU KARIAKOO MTAA WA AGREY...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau,ivi iz Nokia 5 zinaupekee upi zaid ya TECNO? Je bei ya Nokia 5 dukani ni bei gani? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Mimi mkulima nina trekta niko wilaya ya Kilombero kijiji cha Miwangani , mshirika atatoa pesa ya kukodi shamba tuanze na ekari 10 wakati wa Kiangazi sehemu za mabonde kuna maji yanaivisha mpunga...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nauza Softwears hizi zikiwa full version na kufanya kazi kwa kila controller kwa 100% Kwa MAC/WINDOWS pia unaweza kurecord mixing zako MP4 HD 1080(Full HD) pia unapata na skin 3D Kama...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Chumba Sebule na Choo ndani. Tiles, gypsum, Maji ya dawasco, ndani ya fensi & Umeme Luku. Tshs 150,000/Mwezi, Miezi 6 inatakiwa. 0675107182 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
587 Views
TALLY.ERP9.singleuser 250000/=. multuser 450000/= QUICKBOOKS.singleruser 250000/= multuser 450000/= MTAALAMU WA KUANDIKA RESEACH PIA...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Wasambazaji wa mbolea (YARA),wapo maeneo gani pale kurasini,? Je nikiwa k/koo gerezani nipite njia ipi ili niweze kufika.?
0 Reactions
7 Replies
958 Views
Habari wakuu •natafuta HP360 ambayo ni used(new) in a good condition.. BEI:iwe affordable MAHALI : DSM Aliye serious njoo inbox tuyajenge..nashukuru Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
0 Replies
492 Views
Natafuta shamba lilio karibu na mto maeneo ya mkuranga, vikindu, bagamoyo au mlandizi. Heka 5 mpaka 10.
0 Reactions
35 Replies
6K Views
Shamba Heka 50 Linauzwa Kibiti Bei Chee (TZS 70,000/Heka). Shamba linauzwa Kibiti heka 50, Halijawahi kulimwa hivyo ni la kusafisha, Heka 10 urefu X heka 5 upana, Liko kilometa 20 kutoka kibiti...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna magonjwa ya hernia ya aina nyingi kama zile ziitwazo kitaalamu inguinal, umbilical, femoral, epigastric, incisional, inguinal hernia na diaphragmatic hernia. Lakini watu wengi hukumbwa...
3 Reactions
4 Replies
26K Views
Habar, Je wapi naweza kupata simu za zaman zamani kama Nokia 6300, Exp 3300 nk, Blackberry na Motorola za miaka ya 2000's. Asante Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
10 Replies
5K Views
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu hapa mjini mafudi wa Ac za magari ni wababaishaji,ukipeleka hakatai ila anajaza gas basi kesho yake tatizo linajirudia. Naomba kujua nani BINGWA wa AC za magari hapa jijini Dar hata kama...
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Ndugu zangu nnaeneo langu mkuranga lenye ukubwa tofauti kuna la ekari 2,4,6 ekari hzo zipo mkuranga hila maeneo tofauti mashamba yote yana documents za kijiji nauza ekari 1@1.5ml Hali yangu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu zangu hali sio nzuri kwangu kiuchumi sababu nna maeneo nilinunua kipindi mambo sio mabaya nimeamua kuuza baadhi hili kurekebisha baadhi ya matatizo,nna ekari 2,4,6 yote yapo mkuranga nauza...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
*LONG LIFE NATURAL FOOD* -Watengenezaji wa vyakula vya Asili inayotengeneza; *UJI RISHE* -Ambao unga huu una mchanganyiko wa -: -Ulezi -Soya -Ngano isiyokobolewa -Karanga -Mbegu za maboga. -Ambao...
0 Reactions
1 Replies
13K Views
Back
Top Bottom