Yalin global limited inapenda kkukaribisha kunufaika na flat screen TV HD kwa Bei ya 260000 .Tunapatikana tabata matumbi dar es salaam,kwa mawasiliano zaidi tupigie kwa namba 0672087564 au...
Habari wakuu nilikuwa natafuta gari kati ya hizi zifuatazo ist, passo, sienta, porte au aina nyengine yenye engine ndogo isiyozidi cc1400> hesabu ni kwa wiki. napatikana tabata nicheki kupitia no...
Habari wakuu nilikuwa natafuta gari kati ya hizi zifuatazo ist, passo, sienta, porte au aina nyengine yenye engine ndogo isiyozidi cc1400> hesabu ni kwa wiki. napatikana tabata nicheki kupitia no...
Habari wakuu,
Kampuni yangu inajihusisha na solutions za kuimprove safe and transparent fuel utilization.
Systems tuna-install kwenye mobile na stationary tanks. Hivyo wamiliki wa heavy vehicles...
Kwa majina naitwa Kennedy Charles ni mtaalam wa wanyama hasa kuku,napenda kuwa taarifu wafugaji wa kuku wakubwa na wadogo kwamba uzalishaji utokanao na kuku unazingatia jinsi ya banda lako ulivyo...
Habari great thinkers, ningependa kujua kwa hapa Tanzania wanapouzwa samaki aina ya salmon
Lakini pia ningependa kujua wapi wanauza mafuta ya samaki aina ya salmon
Natanguliza shukrani
Sent...
Aweanaishi Arusha mjin atafanya kazi chin ya kampuni na atalipwa kwa week
Uwe chini ya miaka 33
Wadada wataendesha mjin leseni ikiwa ya biashara itapendeza zaid ila kikubwa uwezo kwenye driving...
Kama kichwa cha habari kilivyo,tulisoma kwenye vyombo vya habari kuhusu usafiri mpya taxi ya little,lakini ukienda play store,unakuta ipo App ya little,lakini ukiidownload inakuja namba za Kenya...
Habarini nfugu zangu wana JF.Naomba sapoti yako ikiwa ni mdau mhimu sana katika jamvi hili. Ni kitambo saaa nimetumia kufikilia kuhusu zao hili LA miti ya kupandwa ( paini na mlingoti)...
Kutokana na shida zangu binafsi nimeamua kuuza kituo cha mafuta maeneo ya Mlandizi,eneo lina hati kabisa.
Mijengo iliyopo ni ya kumalizia na pampu za mafuta ziko stoo ukizihitaji tutaongea...
Tunahusika na uzalishaji, ufugaji, ufundishaji na uuzaji wa mbwa waliosajiliwa na wenye viwango vya juu kwa ajili ya ulinzi binafsi, majumbani na maeneo mengine. Tunafundisha na kumfanya mbwa kuwa...
wakuu
naomba msaada wenu niweze kupata chumba kimoja cha kupanga kwa maeneo ya pugu, kajiungeni mpaka kufika maeneo kigogo fresh
iko chumba kiwe na sifa zifuatazo
1. gypsum na ukuta uliopigwa...
Je' unahitaji kununua gari kutoka nje? Sisi IPILIMO BUSINESS SOLUTIONS, ofisi yetu Kimara mwisho..dsm. Tutakuagizia gari yako hadi kukukabidhi mkononi mwako.
Uaminifu na Uwazi katika mchakato...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.