Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Mercedes Benz E200, 1995 Model, Blue in Colour. Imported in 2004, in good running condition. 120,000km on the road. TZS 8m. Sold by the owner. Ni pm kama uko serious. Dalali hatakiwi.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Gari aina ya mercedes benz e240 used car kuuzwa 5m. Contact 0674567290.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Hapa kuna Uzi wa garage inajitangaza kupamba gari yako kwa kuweka vitu mbali mbali,kama sikosei inajiita Sound. Nimetafuta Uzi wao umekosa naomba wanitafute nawahitaji kama wapo Sent using Jamii...
0 Reactions
1 Replies
676 Views
Habarini wadau,naomba mwenye info kuhusu soko la maziwa ya mbuzi,ninataka kufuga na nimeona nifanye research ya soko kwanza.nataka kufugia mlandizi,pwani. Natanguliza shukrani. Sent using Jamii...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Rejea somo tajwa. Naomba kujua dawa ya muwasho wa ndevu baada ya kuzinyoa pia kichwa kwa sie wapiga dongo kitambo maana huwa KERO nikinyoa ndevu/kichwani pia wapi nitapata smoother na Bei zipoje...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu natafuta radio cassette aina ya LANICO double speaker
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau habarini za hasubui, kwa aliyeko Dar natafuta Compressor machine ( kwa ajili ya drilling). Sema kwasababu ya Mtaji mdogo sitoweza kwenda kununua za Madukani kwahiyo naomba anayeweza pata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
BIA KUUZWA NUSU BEI KWA MASAA SITA KAMA TAIFA STARS ITASHINDA NA KUINGIA KWENYE MICHUANO YA MATAIFA YA AFRIKA SIKU YA JUMAPILI. Leo Jioni,17:13pm Goli la Mluguru Peter Tino ndilo limebaki kwenye...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wapendwa, Kwa wanaohitaji INCUBATORS ZA CAPACITY TOFAUTI KWA BEI YA KIWANDANI KABISA! Mimi unanilipa COMMISSION FEE TU YA $100 Ninakufungia machine zako za kisasa kabisa!! Hii offer inaisha 31st...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wanaoingia katika kilimo cha mboga na matunda ni vizuri ukapata ushauri kabla hujaingia ili kulima kifaida hata kama ni bustani maarifa ndio msingi Wa kupata faida kwako Kwa yeyote...
5 Reactions
22 Replies
4K Views
Ofisi ipo karibu na iliyokuwa Vatican City Hotel, (opposite Mawela Bar). Ofisi imetenganishwa na reception area kwa aluminium framed glass. Kwa mawasiliano piga 0753740245. Karibuni sana. Sent...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
KIWANJA KINAUZWA TABATA KINYEREZI. - JamiiForums KIWANJA KINAUZWA TABATA KINYEREZI. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
551 Views
Nauza kiwanja changu mbezi msakuzi. Nguzo ya umeme iko hapohapo site .ukubwa 20m kwa 21m. Kiwanja kiko sehemu nzuri sana na pia pamejengeka sana. Hatua za awali za upimaji shirikishi...
0 Reactions
1 Replies
879 Views
16Gb 4g LTE 2Gb RAM Ipo kwenye good condition bei ni Tshs.400,000 Mawasiliano 0752325910 Simu ya kawaida. 0742228475 Whatsapp Location Arusha Tengeru Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
504 Views
Kwa wale wa penzi wa oldies pata nokia e72 original but refurbished, ni imported haijatumika bongo na vifaa vyajke vyote including user manual, charger, ear phones, usb cable etc. Kama unaipenda...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Laptop Kali. Storage: 1000GB Ram: 12 GB Core: 5i Rangi: silver Upana: nchi 15 Bei: laki Tisa.( Maongezi kidogo yapo). Simu:0769846183
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nina bata 30 mchanganyiko wa madume na majike lakini majike ni mengi zaidi. Nawauza wote na Banda lake kama ukihitaji Madume: 25000 kila moja Majike;20000 kila moja Yapo pia majike na vifaranga...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
nyumba inauzwa mbezi beach goigi bei 150 fixed price. ina vyumba vitatu,sebule,dining,public toilet,kitchen pamoja na chumba kimoja upande wa nje ambacho ni self ina hati miliki safi pia haina...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habar zenu wakuu, Aisee nashida ya kufahamu kuhusu hil la upatikanaj wa nguo za mtumba kwa maana yale mabaro,(marobota) yanuzwa sehem gan jijin hpo, na bei gan kwa kila baro hasa kwa jeanz za...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom