Kiwanja Hiki kimepimwa, mawe yasha wekwa, Hati ndio zinatolewa mwezi Aprili,kwasasa kuna hati za mauziano ya Serikali zamitaa na mkataba wa kisheria wa mauziano.
Kina ukubwa wa 520sqm(Angalia...
Nahitaji kiwanja mkoa wambeya maeneo ya Uyole, kiwe na hati miliki, na kiwe kikubwa pia.huduma zote za kijamii ziwe zinapatika,
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu wapendwa....je mmesikia kuwa kituo chetu ..Eternal international kuwa kinaendelea kutoa huduma ya check up ya mwili mzima kwa mashine za kisasa pamoja na madaktari bingwa kutoka nchini...
Wadau, pengine hili jukwaa sio mahala pake ila naomba ushauri juu ya hasa uimara wa engine na technical faults zozote kama zipo kwa gari aina hiyo. Sina uzoefu sana na Subaru. Ni hatchback, haina...
Natafuta VIFAA VYA kuokea cake na mikate, material ya bati mwenye navyo au unamfahamu MTU anayetengeneza Kwa bei nzuri.
Ukitoa number na location kwa Dar nitashukuru sana
Habari za kutwa wana forum. Kwa yeyote anayefahamu kampuni/duka linaloruhusu mkopo wa samani za nyumbani kwa watumishi wa umma naomba anifahamishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina jokofu aina ya bird line....mwanzo lilikuwa linapiga kazi fresh..
Nikaita fundi wa kwanza akasema tatizo ni power control na gesi imepungua, tukarekebsha ikafanya kazi fresh
Siku 3 tu...
Toyota starlet iko kwenye hali nzuri sana na inaendeshwa na mdada
sababu ya kuuza:anatafuta kodi ameagiza gari ingine
BEI: ishauzwa 4m
Make: Toyota starlet
Model: EP91
Mileage: 132,000 km
Engine...
Natafuta ist Ya silver iliopata ajali, Iwe inatengenezeka Kama unayo Au unajua mtu anayo anauza Au uliona sehemu inauzwa Basi nitonye kwa number 0759117175
Sent using Jamii Forums mobile app
ABOUT US
The Hybrid project management consultancy (HPMC) is a down to earth, pragmatic consulting firm who believe in bringing traditional rural values to city business.
We do what we do well...
Eneo lipo kizota Makongo juu DSM. Ukubwa ni
square meter 20*15, linafikika kwa urahisi sana,
eneo halijapimwa .
Price ni 25 million tshs .. BEI HAIPUNGUI
Serious buyers ONLY contact...
USIIKOSE HII...HONDA FIT..TSH 7.6M
*******************************************
BEI YA LEO NA KESHO....TSH 7.6M MPAKA MKONONI MWAKO, WASILIANA NASI TUKUAGIZIE HII, WALA HUTOJUTIA PESA YAKO. LIPA...
Kiwanja kinauzwa kipo makongo ya juu.
ukubwa ni 23m (urefu) kwa 22.5m(upana).
Kipo barabarani, maji na umeme vilishafika toka 2004.
Ni low density area.Ni 18 -20 mins driving from Mwenge.
Piga...
Simu ipo kwenye hali nzuri, fingerprint inafanya kazi, minor scratches (crack zinazoonekana ni za screen protector pia unaweza kuikagua kujiridhisha)
Bei ni 250,000
Maongezi yapo kwa wale wapenda...
Sikiliza music na fanya mawasiliano unapokuwa unafanya mazoezi Bila kusimamisha mazoezi ni rahisi tumia phone arm band kifaa kinachokusaidia kuweka simu yako unapofanya mazoezi kinapatikana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.