Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Bajeti yangu ni Tsh 500 000 hadi 550 000 Bawea kupata Tv ya inchi zaidi ya 40 kwa hiyo bei? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
4 Replies
760 Views
  • Closed
Habari. Kama una mashine ndogo ya kutengeneza juice ya miwa, unaweza usiishie tu katika juice ya miwa bali pia unaweza itumia kutengenezea sukari. Demand ya sukari ni kubwa sana na viwanda...
22 Reactions
57 Replies
22K Views
Nalipa mwezi mmoja pekee, nitalipa pesa yoyote inayotakiwa. Lazima niipate Leo. Asanteni Sana. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inamuonekano mzuri Haina tatizo lolote Warranty miezi 6 Simu nzima sana Bei yake ni 460,000/= 0625 50 43 16 0712 58 31 57 0689 55 44 38 whatsapp Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naamini mpo wazima,pole kwa waleo wagonjwa na wasio jiskia poa "Natafuta Movies kwamiliki wa Bongo movies #businesspurpose Je wewe ni producer au tu mmiliki wa filamu yani una miliki wa filamu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[emoji3479]PELVIC INFLAMMATORY DISEASE (PID) Ni ugonjwa unao shambulia mfumo wa uzazi kwa mwanamke nimojawapo ya ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya kujamiiana. [emoji3479]HUATHIRI SEHEMU ZIPI...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wajasiliamali wenzangu mimi nashida nauliza ni wapi nitapata soko la mafuta ya alizeti safii from Dodoma maana huku wanunuzi wachache..... Nauza kidumu cha litre tano 18000 elfu...
2 Reactions
16 Replies
7K Views
Gogo agents House for sale Location: Oysterbay, dar es salaam. Description: Sqm 2500, four bedrooms two are master bedrooms, sitting room, dinning, kitchen, public toilet parking, electricity...
0 Reactions
0 Replies
920 Views
Godoro ni zuri sana zaidi ya linavoonekana kwenye picha japo halina cover Bei 45000 tu, nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute namb hii >> 0766166483
0 Reactions
15 Replies
9K Views
Kiwanja changu kipo Tabora mjini maeneo ya Cheyo, ni karibu kabisa na mjini center.. Kwa sasa nipo Dodoma mjini..natafuta mtu ambaye anakiwanja Dodoma tubalishane..Kiwanja ukubwa wake ni miguu 28...
0 Reactions
2 Replies
846 Views
Salamu wandugu! Nauza mayai ya Sasso (Kuku chotara) trei 12,000/= , yanafaa kwa kutotolesha na pia kwa kula. Napatikana Morogoro mjini, Kihonda maghorofani!! Karibuni niwahudumie, popote...
1 Reactions
6 Replies
4K Views
Habari wadau, Kwa wakazi wa Gongo la mboto na viunga vyake, wanaofanya kazi Posta, kutokana na usafiri wa umma kuwa na changamoto sana. Nahitaji watu wanne (4) ambao wanafanya kazi Posta niwe...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Right Click Solutions Tanzania IT Support, CCTV Camera, Android Applications Development, Networking, Computer Sales, Laptop Repair, Alarm system & Website Design Mwanza - Lake Zone Office: NBC...
0 Reactions
1 Replies
659 Views
KC GLOBAL LINKS LTD YOUR NUMBER ONE SOLUTION FOR SHIPPING AND ALL PURCHASES FROM THE UK WE SHIP ALL TYPES OF CARGO FROM UK TO AFRICA AT UNBEATABLE RATES 40’ CONTAINER TO DAR/MOMBASA FROM £1,450...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Unique York Investment. Kutoka Unique York Inv. Inawatangazia bidhaa yake mpya ya Jiko la kupikia la kisasa linaloweza kuokoa matumizi makubwa ya mkaa katika matumizi. Jiko hili kwa jina la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba zipo Kinyerezi kwa makofia umbali wa mita 200 toka barabara ya lami. Zipo ndani ya uzio mmoja na kila nyumba ina sebule na vyumba viwili. Chumba kimoja ni master bedroom na kuna public...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari za mchana wana jf,nilikuwa nauliza uwezokano wa kupata izi nyumba za shirika letu la NHC,maana nimeamishiwa kazi mkoani arusha.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Poleni na kazi wakuu ; Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza yeye anayeweza fanikisha aje inbox Note;iwe ya size yeyote Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Brand new iphone full box + 1 year warranty Free delivery 0766452932 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
616 Views
Back
Top Bottom