Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa pili IFM,, kutokana na changamoto za kupanga nikajiweka nikanunua kiwanja chanika na baadae kidg nikaanza ujenzi sehem iliyobakia ina bajeti ya wastani wa 2m hivyo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu, nina kiwanja cha square kilometer 400, nimeshazungusha ukuta upande mmoja bado pande tatu ni kama tofali elfu 2 kasoro hivi za nchi 5 na 6 jumla. Nipeni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. *Prime area* Nyuma ya barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Maji ya Dawasa yako Mita 12. *NB: kituo cha basi ni Bunju-Mingoi, Njia ya kuelekea...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana jukwaa. Kuna project ambayo naifanya Bunju, ndani ya mwezi mmoja itakuwa imekamilika. Natafuta Nyumba ambayo nitalipia kwa muda huo pekee, Asanteni Sana Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
471 Views
Hello, I live in Kigamboni. I’m looking for a female maid. My no is 0687801144. Call if you know any
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Nahitaji kufungua 📺tv online najiuliza gharama zake zikoje na kunamasharti gani kwa yeyote anaefaham naomba anisaidie jamani
0 Reactions
1 Replies
736 Views
Dagaa Safi wa chakula cha kuku wanapatikana kwa bei nafuu.. Dagaa hawa hawaja katika katika kama wanavyoonekana kwenye picha zipo kg100 kwasasa ukitaka zaidi utakusanyiwa pia..nichek kwa namba...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba kujua bei ya gunia la kilo mia la maharage haya. Nina kama gunia 50.
1 Reactions
2 Replies
4K Views
Wameondoa Chanel Ya ZBC 2 ktk Azam App? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
3 Replies
591 Views
Wakuu naomba usubscribe channel hii Subscribe Zubery online TV Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
426 Views
Wadau, Nahitaj engine ya gari hii kwa anayeweza kuniuzia kwa Dar au Kibaha ani Pm .
1 Reactions
1 Replies
3K Views
anayekua price ya kutuma barua kutoka Arusha kwenda Dar kwa Ems aniambie Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Habari rafiki? Ninayo furaha kubwa kukujulisha ya kwamba, kitabu kipya IJUE BIASHARA YA MTANDAO (NETWORK MARKETING) kipi tayari. Hichi ni kitabu kizuri ambacho kitakupa uelewa halisi wa...
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Nahitaji kununua smartphone ya Tsh 70000 Niko Dodoma mjini kama unayo n Pm
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Habari wana jf, karibuni mjipatie makabati ya nguo milango 3 kwa bei ya elfu 70,000 pia jipatie net za kisasa kwa bei ya elfu 45,000 MIKOANI TUNATUMA KWA DAR ES SALAAM TUNAKULETEA ULIPO...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Tunahitaji watu 10 wakazi wa Jiji la Dodoma wenye uwezo na bidii ya kufanya makerting.wasiliana kwa namba 0714521260.
0 Reactions
7 Replies
818 Views
Wakuu kama kichwa cha habar kinavyosema nina tv singsung flat nchi 25,lkn for now nataka kuwa na tv kubwa ya nchi 43/40 je naweza kubadilishana na hii niliyonayo kisha nikaongeza pesa kidogo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani wadau humu ndani naombeni mnaojua mnisadie nina tv sony flat screen nch 40 tokea juz nimeona mabadiliko inaonyesha picha mbil mbili mfano neno itv linaonekana mara 2 kwenye creen,yaan...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wapendwa, Nauza gari yangu (mimi ni owner), Rav 4 J.. Imetembea KM 200,000, Year of manufacture 2000, engine capacity 1998, haijawahi kupata ajali, wala kupakwa rangi,.. Location- Dar...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Wasalaam Ninauza maharage gunia 10 zinaweza kuongezeka kama kuna uhitaji mkubwa. Location Yapo Laela(Rukwa) ni umbali wa 90s Km kutoka Tunduma kuelekea Sumbawanga. Barabara ni lami mpaka yalipo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Back
Top Bottom