Let clarify some issues here:
Kuna project nafanya hapa Dar es Salaam kwenye kampuni ya energy, natengeneza consumers monitoring system inayowezesha consumers kucheki energy consumption kupitia...
Habari wakuu, natafuta thermometer kwa ajili ya kupima temperature and humidity (unyevunyevu). Hata Kam ni used mtu anacho kifaa hiki , naomba anichek PM!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hefsiba Technologies Co. Ltd ni kampuni iliyo bobea katika utoaji wa mafunzo na ushauri kwenye nyanja za Engineering, Architecture na Entertainments Software. Tutaendesha kozi zifuatazo;
1...
Habari wana jf, poleni na majukumu.. Nina eneo langu mwasonga, kigamboni lina ukubwa wa ekari 1.5 nimejenga nyumba ya vyumba viwili pamoja na mabanda ya kufugia.hapo awali nilikua nalitumia kwa...
HUDUMA KUU
Tunachora ramani za kila aina ya majengo ya kisasa.
Tunaangalia ubora wa ardhi katika shughuli mbali mbali kama kilimo kwa kutumia (GIS).
Tunafundisha SPSS ambayo ni software...
Nyumba ya vyumba 3, yenye master bedroom 1, choo cha ndani, dinning, sitting na jiko. Kila chumba kina kabati la nguo.
Inapangishwa Kisota, Kigamboni, kilometa 8 kutoka Feri ( kilometa 6...
Je una ndugu/rafiki/mtoto ambaye ana matatizo katika masomo ya Sayansi hasa PHYSICS, CHEMISTRY & MATHEMATICS (kuanzia form one(I) hadi form six(VI) sasa hilo tatizo litabaki kuwa historia, sisi...
wakuu,natafuta simu ya HUAWEI,ASCEND MATE 7/8,isiwe na tatizo,kama ina crake screen nifahamishe,betri inayodumu angalau siku moja(masaa 12) kwenye net,camera zote,speaker na charge system viwe...
Wakuu
Nawakaribisha wale wafanya biashara wa chenga na wale wafanya biashara wa pumba laini kuna mzigo wa kutosha, karibuni sana chenga bei ni @ 850 mpaka dukani na pumba debe 7 ni 30 elfu mpaka...
Kama kichwa kinavyosema hapo hali ngumu ya maisha ndo inanifanya niuze hii simu
Simu inakaa na chaji vizuri tu na bado ipo katika hali nzuri kabisa
Napatikana mwanza
Utanichek PM kwa mawasiliano...
Habari zenu wakuu!!.
Nahitaji kofia za ukili, kwa anaejua zinakopatikana naomba anielekeze. Nahitaji kwa bei ya jumla kama kofia 50.
Nipo geita mjini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakodisha na kuuza majukwaa ya kujengea au scaffolds.Mafundi wa kufunga na kufungua scaffolds wenye ujuzi wapo.Kwa mawasialiano piga simu namba 0769803848 au 0714044310
Habari,
Tunazo Dell Desktop zenye windows 7, Ram 4GB, HDD 500GB, Processor core i3 bei 350,000.
Tunazo pia desktops za bei nafuu zaidi zenye pentium duo core, Ram 2gb, hdd 500gb zinapatikana kwa...
canon, printers, photocopiers passportsizes mashines (used but in good condition)
bei
canon 1020 ir - (copy mashine and printer)- 630,000/=
canon ir 1530 (copy and printer) - 530,000/=
hp printer...
Dar es Salaam, Tanzania
printer ya epson l 805 (sifa yake inasafisha picha zote kuanzia ukubwa wa A-4, 5*7, 6*8, PASSPORT SIZES N.K) BEI NI 550,000/=
HP KUBWA INAYOPRINTI NA KUTOA KOPIES PAGES ZA...
Kama unahitaji mashine Kutoka nje ya Nchi yetu hapa ni mahala pako sahihi Mpaka tractors,powertilla, Bakery Vifaa vyote,Alizeti n.k
Note:(Kwa wale wanaohitaji za ndani tumeweka Uzi maalumu )...
Habari wanajamvi natafuta chumba maeneo ya survey, kikiwa near kontena itafaa zaidi,but usalama muhimu,Kama Kuna mtu unamfahamu anapangisha nijuze hapa....!
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.