Linafaaa kwa ufugaji wa samaki lipo maeneo ya misugu sugu lina ukubwa wa ekari moja , chemchem ipo ndani ya hilo eneo, karibuni wateja
+255713976563
Sent using Jamii Forums mobile app
We have used containers both dry containers and reefer containers for sale in Dar es Salaam. Price for 40HC dry container is $2100/- and price for 40RH reefer container is $8400/-. Kindly...
Habari wakuu
Nauza shamba langu lipo maeneo ya kimanzichana shamba lipo karibu na maji pia lina miti ya mipapai ambayo inakaribia kutoa maua shamba libaukubwa wa ekari mbili na mipapai zaidi ya...
Habari za wakati huu,
Inauzwa Nissan Xtra Cc 1990 ya mwaka 2001,imetembea Km 99,800 tu.
Gari haina changamoto yoyote ile kiujumla iko vizuri sana tena sana yaani ni kama mpya haina hata mkwaruzo...
kiwanja kinauzwa ukubwa 35*25 kimepimwa kipo buhongwa mwisho kutoka lami hadi kiwanja kilipo ni mwendo wa dakika kumi kwa miguu kimepimwa kina Bcon tayari ni kizuri sana kwa maelezo zaidi Whatsapp...
Nahitaji fundi ujenzi. Na nitampatia kazi ya ujenzi kama atatimiza vigezo hivi.
1. Apige hesabu ya jengo lote kuanzia mwanzo mpaka mwisho (materials nk)
2. Aweke labour charge zake wazi.
3...
Habari za Leo!
Nnawauza Kuku aina ya Sasso na Kroiler, wana Umri wa Miezi 4 na 5. Wapo Majogoo na Majike wanaoanza kutaga. Majogoo sh Elfu 11 kwa Mmoja na Majike ni Elfu 13.
Ukichukua majogoo...
Uandaaji wa malengo mahsusi ya mradi yaani " project objectives" ni hatua ya awali kabisa katika uibuaji wa mradi (project planning). Malengo mahsusi ya mradi ni matokeo shikika/onekana...
WEB TECHNOLOGIES: LINDA BIASHARA YAKO NA MALI ZAKO TUNAFUNGA CAMERA,ELECTRIC FENCE, BIOMETRIC DOOR ACCESS, COMPUTER REPAIR, DATA RECOVERY
#CCTV TANZANIA,CCTV DAR
PIA TUNAFUNGA ALARM SYSTEM...
Banda la mkaa linakodishwa
Eneo liliopo ni Kunduchi beach (mtongani)
Biashara ni ya kuaminika kabisa
Unaweza kuja kuona eneo lenyewe pia
Malipo ni kwa miezi mitatu au sita
Sh 30000 mwenzi...
Banda la mkaa linakodishwa
Eneo liliopo ni Kunduchi beach (mtongani)
Biashara ni ya kuaminika kabisa
Unaweza kuja kuona eneo lenyewe pia
Malipo ni kwa miezi mitatu au sita
Sh 30000 mwenzi...
Samsung Galaxy on5 6 ram 2gb internal 16gb fingerprint with 4g lite. simu bado mpya aijafunguliwa Tena Aina miezi mingi kwenye matumizi. Bei sawa na Mali 250000 punguzo lipo kidogo you can call me...
Nauza ardhi eka 4.5 nina shida ya hela ya haraka nauza kwa bei ya hasara milioni 9. Eneo liko jirani na shule ya private, barabara zinapitika. Mwenye kuhitaji tuwasiliane inbox
Sent using Jamii...
Habari JF,
Nina safari ya kwenda dodoma Jumatatu, leo nikasema niweke ticket in advance kupitia mfumo wa Shabiby wa ukataji ticket, kiukweli kama mdau wa maswala ya technolojia, huu mfumo umekaa...
ENEO LIMAUZWA SALASALA
DETAILS
Ni eneo lenye nyumba ndogo ya vyumba vitatu(kimoja ni master room) pia ina jiko,dinning,sitting,public toilet
Lakini pia kwa mbele kuna frame za maduka 12
Na kwa...
Tanzania bado tunakumbwa na tatizo la uaminifu katika magari. Mtu anaagiza magari ya kuuzwa lakini anaanza kuyachezea Mara atoe radio Mara abadilishe engine nk.
Naomba kama mwenye kujua...
Tuna fanya Programming ya funguo za magari zinazotumia sensor(transponder) na smart key(keyless or push to start key) Kwa magari madogo na makubwa eg. TOYOTA,VW,BMW,FORD, Benz, Iveco, Scania nk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.