Niko dodoma Mjini kati, niuzie simu yako uliyoitumia Smartphone (Tecno/iTel), isiwe na tatizo lolote nataka nimnunulie Dada wa kazi.
Nitaihakiki ubora wake kabla ya malipo.
Nina 60,000 Cash...
Digital tv aina ya mobisol ipo sokoni imetumika mwezi mmoja tu
Sababu ya kuuza: nipate mtaji wa kuongeza kwenye biashara zangu
Nilinunua au ni ya wizi: jibu ni hapana kuna...
Katika design mbalimbali ambazo nimekuwa nilizifanya katika kukabiliana na tatizo la umeme mdogo katika nyumba zetu,Ambapo kwanza nilianza na design ya COUPLELING nikaja na PUSH and PULL na sasa...
Wadau naomba kuhabarishwa malipo ya facebook ads yanakuwaje? Je unaweza kutangaza ukiwa hauna hela? Wanakata pesa kabla ya tangazo au baada ya tangazo?
Kiwanja kimepimwa kipo kimbiji kigamboni kipo sehemu nzuri karibu na mji WA evic town bei ni milioni kumi mawasiliano 0655634017 kwenye hiyo ramani kiwanja namba 244
Sent using Jamii Forums...
Habari za saa hizi wakuu?
Rejea kichwa cha tangazo hapo juu natafuta sehemu ya kufungua gori la chips hapa dar es salaam. ningependa nipate sehemu wanayouza chakula au bar mi nideal na kuuza...
Habari wana jamii forum , kama kichwa cha habari kinavyo jiheleza hapo juu natafuta shamba la kukodisha liwe maeneo yanayo weza kufikika kwa huraisi ndani ya jiji la Dar es salaam, sana sana...
Wanajamii,
Nipeni msaada wapi naweza kupata engine hiyo kwa ajili ya matumizi ya gari la familia. Engine iliyokuwa kwenye gari ilo imeleta shida hivyo nabadili na kuweka hiyo 3s-ff kulingana na...
Habari za muda huu wana JF,
Naomba tuutumie uzi huu kutangaza bidhaa za ndani kama redio, TV, fridge, ving'amuzi, set za vyombo, kabati za nguo na vyombo nk.
Weka picha ya bidhaa, contact zako...
Ni muhimu kufahamu kwamba, mchakato wa uandaaji wa andiko kwa ajili ya zabuni una ushindani mkubwa. Uwasilishaji wa andiko huanza kufanyika baada ya mteja kutoa wito wa uwasilishaji wake yaani...
Bila kupoteza mda, member mwenzenu nahitaji namba nitakayoweza kuwapigia Airtel na kuongea moja kwa moja na costumer care..
Sitahitaji namba ambayo ukipiga unaanza kupewa maelezo meeeengi, mwisho...
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu...natafuta chumba na sebule na choo ndani...maeneo ya kimara mwisho bonyokwa vyumba vinane,
Mbagala rangi tatu au mbagala zakhem. Na maeneo yanayozungukq...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.