Manukato ya choo yanapatikana katika ujazo wa 250mls...ni mazuri hufanya choo kiwe na harufu nzuri siku nzima..
Bei ni 13000//= kwa chupa.. Zinapatkana kwa jumla pia.. Tunapatkana dar mbez mwisho...
Habari wana Jamii forum Mafuta halisi ya parachichi yanapatikana kwetu.
Yanasaidia kuondoa miwasho mwilini na kwenye nywele
Yanatibu vidonda
Yanafifisha michirizi
Yanakukinga usiungue na mionzi ya...
Habari wakuu...
Hivi hivi vifurushi ni ktk menu yangu tu au hata kwa wengine, maana huu sio msaada sasa kwa wanachuo inamana kwa wiki kifurushi cha chuo ni 3000/=?
kiukweli nitashindwa kula ugali...
habari ya mda huu wakuu..
kama kichwa kunavyojieleza hapo juu,nauza external hard diksk gb 500..
ipo clean haina shida yoyote ile..
bei..elfu tbemanini top..
nipo Moshi kilimanjaro...
Hello Wana GT .Natumaini mnaendelea vizuri na mihangaiko yenu ya Kila siku vizuri, mimi niko mkoa wa Kilimanjaro maeneo ya Kia nahitaji msaada kwa anayejua Brand nzuri ya TV INCHES 55 SMART TV...
Viti vya saloon ya kiume vipo... Bei cheee.... Design nzuri na ya kisasa.... Na vina ubora wa hali ya juu.... Mzigo ndio umeingia... Wahi sasa.... Hatuuzi kwenye duka tunauzia godown moja kwa moja...
Natengeneza sofa za aina zote Kwa bei ya chini ni mwaminifu na mchapakaz na Kwa yeyote atakae hitaji kujifunza ufundi sofa Niko Tatar anitafute kwa maongez zaidi na Kwa yule atakae hitaji...
Washing 8kg
Drying 6kg
Heavy duty
Front door
Automatic laundry
Brand new
Tsh=1900000
Warrant 2yrs
Tunapatikana kariakoo msimbazi opposite simba club house
Simu:0714417739/0763251378
Tuna kufikia...
MKOPO WA VIWANJA. 0652873212
2,500,000/=
ADVANCE :500,000/=
UKUBWA Mita 25*20 =(sqm500)
MALIPO KWA MWEZI 83,000/=
MIEZI 24
HUDUMA :MAJI, UMEME, SHULE, ZIPO.
*KIBAHA--BAGAMOYO--MKURANGA
CHAD...
Nina vifaa vya kisasa vya kupima uwepo wa madini hasa ya dhahabu na vito (Metal detectors).
Vifaa vyangu vinaweza kupima wastani wa mita tano (05) tu kwenda chini ya ardhi. (LENGO NI KUWASAIDIA...
salama wakuu!
kwa wale mnajishughulisha na utafutaji wa madini kama dhahabu na germstones hii inawafaa sana.
Nauza gold,silver na germstones detectors 3.
kwa muhitaji ani pm fasta kwa maelezo zaidi
Habari za kutwa wana JF?
Nahitaji kununua biashara mojawapo kati ya hizo. Hiyo biashara inatakiwa iwa dar tu bei ni maelewano kutokana na duka lenyewe.
Kwa mawasiliano karibu PM
Asanteni sana
Haya sasa, mzigo mpya umeingia.
Hereni, mikufu, cheni, pete Original kutoka nchini Ufaransa ( Paris ). Havipauki wala hazichubuki. Bei: Reja reja Elfu 10. Bei ya jumla Elfu 8
Pia zipo za...
Habari wadau natoa offer ya mafunzo ya kuflash simu aina zote.
Gharama ni elfu kumi tu(10,000)
Muda ni jioni kuanzia saa 12
Nahitaji watu 10 tuuu
Vigezo
1-Uwe tayari
2-Uwe naa kompyuta
3-Uwe na...
Bado unasumbuka na tatizo la ajira?? Je umeajiriwa na mshahara wako hautoshelezi mahitaji yako ya mwezi?? Je una ndoto za kuinuka kiuchumi toka hapo ulipo?? Je wewe ni mwanafunzi uko chuon au...
Nauza Juice dispenser yenye Mitungi miwili (18L kila moja), ipo katika Ubora wake. Bei ni TSh. 650,000.
Nipo Mabibo,Dsm. Contact: 0653118453.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.