Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Aliyenalo plse pm
0 Reactions
1 Replies
700 Views
Yapo mengi picha hapo chini ni sample 0759292980
0 Reactions
3 Replies
2K Views
JIPATIE NISSAN XTRAIL KWA MILIONI NANE TU.GARI INAPATIKANA KATIKA JIJI LA DODOMA GARI LIPO KATIKA CONDITION NZURI KABISA KAMA UNAVYOONA HAPO KWENYE PICHA .. KWA MAWASILIANO PIGA 0789805698
0 Reactions
15 Replies
3K Views
habari ya kazi wanajamvini, Nauza mahindi gunia 150. gunia moja nafanya 70,000 la debe 7. Nipo mbeya Kama upo teyar ni PM tufanye biashara
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu.. Nahtaj king'amuzi cha startimes... Nipo Mwanza, offer yangu ni 35,000/- Aliye serious ani PM
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nyumba inapatikana Mbezi mwisho. Kutoka stand mpya ya mbezi ni mwendo wa dakika nane kwa miguu mpaka kwenye Nyumba. MAELEZO Nyumba ina vyumba vitatu kimoja ni self-contained room. Sitting room...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
NAUZA adapter ya Toshiba kwa tsh 15000/= phone : gudo, 0653828282
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wapendwa, Kinahitajika kiwanja kinacho face barabara ya lami hapa Dar es salaam. Ukubwa ni wowote Ila ni vema kuwe na mpaka unaojulikana wa barabara ili kuepuka kubomolewa. Bajeti iliyopo ni 20m.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauza Simu tecno W3 lite yenye 4g,iko bomba haina shida yoyote.bei 95000,mahali;dar es salaam,piga Simu 0652199902 Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
0 Replies
704 Views
Simu ambazo napendekeza ni Tecno W4,W5 Itel S31,infinix hot2,hot 3,hot 4 na hot 5 Kwa mwenye simu inayoendana na bei hiyo au hata kama itazidi kidogo tutaongea. Weka picha na bei ya simu yako.
0 Reactions
22 Replies
4K Views
vyumba vya kupanga vipo mwenge karibu sana na stendi kuu na vingine viko kawe kwa joseph, vipo vya sitini, sabini na themanini, kwa anaehitaji kuviona tuwasiliane kwa namba 0774797679, ni full...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
HABARI ZA KUTWA WAKUU NAUZA VIFAA KWA BEI YA JUMLA. Hivi vifaa vimegawanyika katika makundi vipo vifaa kwa ajili ya Ufundi wa umeme Ufundi wa magari Na telecommunication. MZIGO UPO WA KUTOSHA...
1 Reactions
3 Replies
6K Views
Salama wadau, Nahitaji Compressor used kwa ajili ya shughuli za machimbo. Karibuni uniambie uwezo wake, aina na bei unayouza. Jambo hili ni serious. Contact: 0765999539 Sent using Jamii Forums...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
JOYCE KIRIA kupitia HAWA FOUNDATION anapenda kuwatangazia kuwa kutakuwa na mafunzo ya ujasiriamali ambayo yana lenga kumkutanisha Na ajira kijana wa kike ambaye amekaa tu nyumbani bila kuwa na...
0 Reactions
2 Replies
885 Views
Pata Logo na Business Card kwa ajili ya biashara yako na ofisi yako ujitangaze zaidi! Sasa ni Kwa Tsh 5000 tuu kwa kila huduma... Call/WhatsApp 0713469213 Visit www.slaustec.com Sent using...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Bajeti yangu ni million saba na nusu kwa mwenye nayo au aliye na taarifa kama ipo sehem unijulishe. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
1 Replies
806 Views
Kiwanja kinauzwa Location: Magaka,manispaa ya ilemela Sifa:-Ukubwa wa kiwanja ni 20*28 Kimepimwa na kipo kwenye makazi ya watu,huduma za maji na umeme zipo Ni mwendo wa dakika 1.5 hadi 2 kwa...
0 Reactions
1 Replies
895 Views
ARC Land Property ni wauzaji wa viwanja vya aina zote vya mkazi na biashara (hotel site, beach plot, nk) viwanja vinapatikana KIGAMBONI *VIWANJA VYOTE VIMEPIMWA NA RAMANI ZIMETHIBITISHWA(BLUE...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nabandika 3D wallpaper majumbani na maofisini.. Kwa ustadi na usafi wa hali juu.. Bei ya wallpaper kwa roll ni 35,000 gundi yake ni 10,000.. Ina uwezo wa kubandika rollers 4.. 0713799522
3 Reactions
23 Replies
23K Views
Laptop hp inauzwa Tsh 360000 RAM 2GB HDD500GB webcam blutooth 3 ports CD room inakaa na charge masaa 6 haina tatizo na haijawahi funguliwa nichek PM tufanye biashara
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Back
Top Bottom