Wakuu Salama.
Ni wapi naweza kupata mashine za kusindika youghurt kwa hapa Dar. Na bei zina range kuanzia mgapi mpaka ngapi?
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu muda mrefu umepita natangaza kuuza hili gari, lipo vizuri mno, yaani ukijaza petrol unatembea kona yoyote hapa bongo bila shida. Nina ukwasi tu wa kifedha, nisaidieni kunitua huu mzigo...
Kiwanja kinauzwa Kikuyu karib kabisa na Chuo cha st John , Kiwanja kina nyaraka zote kama hati za serikali . kinauzwa 16.5mil. Kipo karibu na barabara . KARIBU
Sent using Jamii Forums mobile app
HAKIKA PLAN
Hakika plan ni mpango wa bima ya afya unaolenga hasa hasa watu wenye kipato cha kati,lakini mtu yeyote anaweza kujiunga.
Mpango huu umegawanyika katika makundi mawili.
a)Hakika 5M...
Nyumba inapangishwa Kimara Mwisho. 3 km barabara ya kwenda bonyokwa ni chumba, sebule jiko na choo ndani. nyumba ina alluminium windows, maji, feni tiles gypsum, Sipo ndani ya fensi..100,000 kwa...
wakuu mambo vipi?
jamani nimeagiza gari aina ya Rav 4 sasa nilikuwa nataka msaada wa kampuni bora ya clearing ambayo wataweza kunitolea Gari langu bandarini... Kuna kampuni niliwahi kuitumia...
Salaam
Wakuu kama ww ni mpenzi wa hizi short timberland au unauza kwa rejareja njoo nikuuzie kwa jumla mzigo ni grade A, zipo kama 40 hivi kama tukikubaliana utakuwa mteja wangu kila nikifungua...
Wakuu habari za mapumziko ya weekend. Napenda kuwatambulisha kampuni yenu ya huduma zifuatazo
-Air ticketing
-Reservation
-Airfreight
-Seafreight
-Clearing and forwarding
-Bond ware house
Huduma...
Tunatoa huduma zote zinazo husiana na logistics kama ifuatavyo :
> Sea and Airfreight clearance
> Export clearance - Sea & Air
> Warehousing
> Transportation
- Bei zetu ni rafiki
- Tunafanya...
HABARI ZA KUTWA WAKUU NAUZA VIFAA KWA BEI YA JUMLA.
Hivi vifaa vimegawanyika katika makundi vipo vifaa kwa ajili ya
Ufundi wa umeme
Ufundi wa magari
Na telecommunication.
Mzigo unapatikana dar...
Habari zenu wanaJF
Mimi ni kijana wa miaka 22. Ndoto zangu ni kufungua kibanda cha chipsi na mtaji ninao kama laki 7 hivi.
Naombeni msaada wa eneo la kuanzisha biashara hii hapa Dar. Hata...
Habarini ndugu zangu,Kuna rafki yangu alikuwa akiuza T-shirt za mtumba za grade one hapa Dar sasa kapata ishu nyingine mkoani uko ya kuzunguka zunguka sana sasa kuna mzigo wa tshirt ulikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.