KIMOMWE MOTORS LTD tunatoa huduma zifuatazo:
1.Ushauri kutoka Kwa wataalam Wa mauzo(advice from professional sales)
2.Msaada kutafuta /kupiga hesabu ya ushuru na gharama zote za gari(assistance in...
Hp hard disk for sale
Model (as seen on the picture)
Zimetumika Kwa mda mfupi kwenye server (Hp sas servers)
Size 1.2 TB
Speed 10,000 RPM
Price , 150,000 Tsh per P.C.
Zipo 10 pcs
Interested...
Wakuu habari zenu wakuu? Poleni na mihangaiko
Naomba kujuzwa soko zuri la hiriki na pilipili manga hasa ndani ya nchi maeneo kama unguja, mombasa,dar as salaam.
Naomba kujuzwa bei ya sokoni hasa...
Habari wanajamii forum, hii ni kwa Mara nyingine tena kutoka Tambaza auction Mart and general broker, Tunatarajia kuuza lodge ya mdaiwa wa benk iliyopo maeneo ya kimara kona
Sifa za lodge
-Ina...
Nina toyota camry ambayo imevunja kioo cha kwenye but. Naomba msaada wanapochonga vioo hapa Tanzania, au kenya na Uganda maana Dar es salaam nimetafuta nimekisa
Sent using Jamii Forums mobile app
ukubwa wa zulia mita 3 na nusu
rangi ya zulia gray
bei 60,000
linapatikana ubungo river side
mawasiliano 0675338218
picha hizo hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba binafsi & za wageni,
Super market & Maduka & Mall,
Shule,hosipitali, Benki, viwanda &
Migodi.....(Kamera ndogo za magari tunazifunga pia)
Zipo Kamera za wireless & kawaida
Pia...
habari zenu
kuna mtu kafunga stationary yake na nilikua namdai sasa kaniachia hizi catridge za epson mpyaa pisi 25.
naziuza kwa bei rahisi sana kutoka thamani yake halisi ya 25000 mpaka 10000 ili...
Clock Masters ni kampuni ya kitanzania inayojishughulisha na ku-brand bidhaa na event mbalimbali ikiwemo kuweka nembo na picha kwenye saa za ndogo za mikononi na saa za ukutani.
Bei ya Jumla (Pc...
Wakuu kama kichwa cha habari kisemavyo.naomba mtu au yeyote anaeuza mzani huo.au kama anafaham mtu anauza mzani anipe tarfa.
Pia naomba kujua bei yake hapa hapa ili nijue kama stapigwa hapa...
Habarini wadau!
Tuna mbao mchanganyiko kama mninga, mpodo, mkongo, mtondolo, mvule tunakuletea popote ulipo kama unachukua mzigo mkubwa kwa bei nafuu.
Pia tuna furniture mbalimbali ambazo...
Habari wakuu
Nahitaji kioo (dispay) cha laptop size 17.3" mkanda mdogo... laptop ni acer.
Nimezunguka kariakoo kukitafuta mpaka viatu vimechakaa..
Mwenye nacho iwe Dar au Dodoma, naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.