Wana JF,
Habarini za asubuhi, naombeni kuwauliza kwa anayefahamu mshahara wa kuanzia kwa position ya Assistant Lecturer kuanzia ni sh ngapi? for both public and private Universities
Pia...
Habari zenu, wana JF? Naombeni kuuliza kwa wale walioomba kazi TASAF au wenye taarifa yoyote kuhusu shortlisting na interview kama imeshafanyika, kimya kimekuwa kingi.
Wana JF kwa anaefahamu,anijulishe hizi kazi za sales consultant wanazozitangaza Bayport ziko vipi in term of job responsibilities,job requirements,and salary
Wapendwa Wana JF wenzangu,
Napenda nimshukuru sana aliyeanzisha mtandao wa Jf kwa sababu mtandao huu umekuwa kiini cha mafanikio kwa watu wengi humu ndani kwa nyanja zote kwa kutoa elimu mbali...
Habari wakuu, mimi ni mdau wa mambo ya environmental management specifically ktk mambo ya impact assessment na environmental protection and conservation , natafuta wadau wengine tushirikiane...
Wakati wa ukoloni wawekezaji walio kuwa wanakuja awakuajiri wazawa kutokana kuwa walisema atuna elimu, Ni kweli watanzania wengi tulikuwa atuna elimu na wale walikuwa na elimu ilikuwa ni rahisi...
Habari wana jf.
Ofisi inafanya renovation, wanahitajika vijana wachapa kazi wenye ndoto za kufanya kazi zao binafsi na kukua.ofice iko dar inajihusisha na kutoa huduma kwenye mashule na vyuo...
habari! tafadhali kwa anayejua jinsi ya ku apply kwa hawa UN volunteers! kama unataka kuvolunteer! maana wametangaza volunteer ila hawajasema jinsi ya kuapply! yaani contact ama form na kwenye web...
Kila mtu ana malengo aliyojiwekea katika maisha yake na kila mmoja anaitaji maisha mazuri. vyanzo vikuu nya kipato katika maisha ya binadamu ni kuajiriwa, kujiajiri, kufanya biashara na kiwekeza...
ndugu, week kama mbili tatu nyuma ACB LTD walitufanyia interview kwa ajili ya post za bank taller, kwa habari za chini chini ni kwamba wameshapata watu wanao wafaa kwa ajili ya kazi zao, sasa...
Wanajamvi wenzangu, nimeona tangazo la kuitwa watu kwenye usaili katika sekretarieti ya ajira ya utumishi wa umma usaili utakaofanyika kuanzia tarehe 20 September 2012 hadi 5 October 2012. Kwa...
Hi JF members!
My friend who is an international recruiter has asked my reccomendations for below job opporturnities. You can contact me (through PM) if you want personal reccomendations or e...