Edgepont Dieter's ni club ya kupungua mwili ambayo hupika vyakula vya diet na kukuletea nyumbani au kazini. Breakfast, lunch na dinner ni kwa shilingi 8,500/= tu.
Tuna 'Edgepoint 14 day diet'...
Anahitajika mkalimani anayejua lugha ya kiarabu na kiingereza haraka sana.
kazi ni kuwaongoza wageni kutoka uarabuni kwa muda wa siku 3 kuanzia mchan huu.
anayeweza kazi hii haraka an PM
Kwa kuwa ndo nimemaliza tu chuo mwaka jana, naomba mtu anayetaka nifanye kazi kwake kwa kujitolea bila malipo yoyote (on part time basis though)..na siku za ijumaa full time, katika maeneo ya...
Make Massive income from Google. No MLM, No scheme a real income opportunity. We create a website for you that will generate life income for you. Even when you in sleep or at work, your...
Habari wanaJF wenzangu.nimepata trainee ktk kampuni ya TICTS,natakiwa kuripoti jumatatu ijayo,nimemaliza chuo na mina Advanced Diploma in IT..naomba msaada kwa waliowahi fanya field au traineehapo...
wana jf habari wandugu naomba mnipe dili hapa mjini pagumu kiukweli nakadgreee kangu kauhasibu wandugu mwenye shule, college, tuition center niweze kuwa hata tutorior wanamba, bookkeeping or...
Ndugu zangu kuna mdogo wangu aliomba nafasi ya kazi ya uhasibu chuo kikuu cha muhimbili,je kuna mtu ameshaitwa kwenye usaili? kwani ni miezi imepita sasa.
Mimi ni kijana niliyemaliza kidato cha sita(feb 2012) kwa mchepuo wa HGK, shule ya sekondari Galanos, mjini Tanga. Mahali nnapoishi kwa sasa ni Moshi mjini. Lengo la kushughulisha vidole na akili...
waliokuwa interviewed na deloitte vipi veta wameshaita?
Mwanzoni kupitia jukwaa hili kuna mdau alisema wameambiwa labda february kwa sababu serikali haina fedha.kuna mdau yeyote mwenye taarifa...
JAMANI NIMEAMUA KUWAPOSTIA HII ILI
TWENDE WOTE TUKASHINDANE UKO............
UKISHINDA UNISTUE UWE CONNECTION YANGU
Dear All,
Plain Ink is an NGO pioneering a fresh approach to...
Vacancy Notice No. ITC/PVN/01/2012
Post title: Senior Adviser, Trade Finance for SMEs
Post level: P-5
Division: Division of Business and Institutional Support (DBIS)
Section: Business...
TANGAZO LA AJIRA
Jeshi la Polisi liko katika mchakato wa kuajiri vijana kujiunga na Jeshi kupitia mashuleni.
Tumeamua kuurudia utaratibu ambao ulikuwepo zamani wa kuajiri moja kwa moja toka...
kwa bachelors na wenye familia, kama unataka huduma ya kufanyiwa usafi, kufuliwa na kupasi, tupigie 0715808038 au tuma barua pepe; lcmakoi@gmail.com.
tuna wasichana, vijana wa kufanyakazi za ndani...
Nina degree ya education ktk masomo ya CHEMISTRY and BIOLOGY nipo manispaa ya kinondoni maeneo ya external ubungo natafuta shule ya kufundisha masomo hayo kama part time teacher shule zilizo...