Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

JOB VACANCY Auguster is a medium size company in the merchandise of Compact CDs, Films, and stationeries. The company is credited of quality products, competitive prices, timely delivery and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Goodluck guys!!
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Wana JF nawaomba aliye na tangazo la kazi zilizzotangazwa na wizara ya mifugo kwenywe gazeti la dailynews la tar 18 11 2011 aniamie nashida ya kuaply kazi hizo,au mwenye kuwa nalo anitumie private...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Asalam aleikhum waungwana ! leo The only naona nibadilishane nanyi juu ya hili. Ni wazi hali ya ajira kwa sasa ni ngumu unaweza tuma barua 100 usijibiwe hata moja na ukijibiwa ni kukushukuru kwa...
5 Reactions
39 Replies
5K Views
Nijuzeni wana JF anaefahamu kama African life Assurance wameshaita watu kwenye interview au lini wataita.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Fhi
Naombeni msaada kwa anayelifahamu shirika la Fhi lilipo hapa dar. Nafahamu tu liko oysterbay, lakini sifahamu exctaly location. Naombeni tu mnielekeze. Asanteni wana'jf
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa wale unaojua michongo yoyote ya kazi za udereva mnijuzo,kama vile mining area,NGO au kutoa magari bandarini kupele nchi za Rwanda,Burundi,Zambia,Congo n.k,nina Class C,NIT grd two...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Director of Health Programs-Africare Tanzania at Africare Tanzania in Dar Es Salaam Coordinación de País- Tanzania at Médicos del Mundo - España in Dar Es Salaam...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kama kuna mdau anayehitaji kazi ya mechanical engineer , awe na degree ya mechanical engineer,,kaujuzi kidogo,,,ani pm .......hii ni serious na kazi ipo,,,sio uswahili........salary 1,000,000/=
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau,nasikia wizara ya afya ina nafasi za Nutrition Officer katika baadhi ya wilaya,mwenye taarifa kamili naomba anijuze na kama ipo deadline ni lini? Pamoja JF
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Et wadau pwc tax consultant vipi washaajiri?
0 Reactions
0 Replies
965 Views
waungwana naomba kwa mwenye habari ya kuaminika anisaidie kunijulisha juu ya ajira kwa walimu wa sekondary ni lini? Pia naomba mwenye kuweza nisaidia kupata shule ya kufundisha hapa mjini...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Mwenye kujua mchongo wa kazi anijuze kwenye NGO,Mining areas,Kutoa magari yanayoingizwa nchini kwa ajili ya kupelekwa Rwanda,Burundi,Zambia na congo n.k,nina Class 'c',NIT grd two...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba kuelekezwa makao makuu ya Nokia hapa mjini DSM ndugu zangu
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wasalaamu...Ndugu wana Jf naomba tusaidiane,kuna jamaa yangu yeye ana elimu ya kiwango cha Masters...lakin kutokana na uhaba wa ajila alitumia cheti cha degree kupata kazi...amepata na anaendelea...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
AGA KHAN FOUNDATION COUNTRY MANAGER, TANZANIA The Aga Khan Foundation is a private non-denominational development agency promoting creative and effective solutions to problems that impede...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Bank of Tanzania Employment Opportunities The Bank of Tanzania, an equal opportunity employer and Tanzania's central bank, is looking for suitably qualified Tanzanian citizens of high...
2 Reactions
7 Replies
7K Views
Wana jf habari ya majukumu ma maoni.nimefurahishwa na nimependa safu hii.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau, mi ni mass communicator na public relation officer ambaye nimegraduate 2010 na nimeshatuma maombi ya kazi sehem kibao but sijawahi iitwa kwenye interview wala kupata feedback yoyote, ingawa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
wadau kwa wale waliofanya pepa UDOM kwa kada ya afya, waliochaguliwa katika interview next wik majina yapo katika wesite yao. The University Of Dodoma
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…