Jukwaa la Ajira na Tenda

Fuatilia nafasi mbalimbali za kazi zilizotumwa na wanachama wetu. Share details, NO Hotlinking please!

JF Prefixes:

Katika sehemu nliyojishikiza, sasa wameniambia wataniajiri! Hofu yangu ni jinsi gani nta-bargain hata kufikia kiwango nachokihitaji mimi! Kwa waliowahi pitia hili naomba msaada wenu!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ndugu wana jf, jana kuna tangazo lililetwa hapa jamvini na kampuni moja inajiita plusfinance wakasema kwamba wanahitaji watu kwa ajili ya business planing training ambayo itafanyika tarehe 26/27...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
wADAU NIMESIKIA HIVI KARIBUNI UBALOZI WA SWEDEN HAPA BONGO WALITOA NAFAS YA KAZI, KUNA YEYOTE ALIZINYAKA ANIJUZE NATANGULIZA SHUKRANI
0 Reactions
3 Replies
4K Views
SISI ni mafundi wa kutengeneza sofa na kwa wale wanaotaka kubadilisha cover ya sofa tutafanyia nyumbani hapo hapo kwa bei rahisi
0 Reactions
17 Replies
2K Views
wadau kwa mwenye taarifa ya jinsi supermarket ya TSN wanavyolipa. je ni kiasi gani kwa mwezi unapokea, wameniita kwenye interview. wakuu nisaidieni.
0 Reactions
34 Replies
14K Views
Jamani wana-JF nisaidieni nipate kazi za research assistance. Nina BA sociology na nimekua nikifanya prject/prgrm management ktk NGOs mbalimbali at least for the past 8 yrs. Natafuta kazi sijapata...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tafadhali sana naomba anayeweza kupata gazeti la the guardian la tarehe 16/8/2011 anisaidie nafasi za ajira zilizokuwa zimetangazwa. Mm huku nipo kijijini na siwezi kulipata. Naomba sana msaada wenu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani kweli hii ni haki kwa wa tz? mbona tunaenda pabaya sana? tumevumilia twiga kuibiwa na jengo hilo wanataka kuliba nini? mweeeeeeee
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hello wana JF! Ndugu zangu nina Bachelor in IT(BSCS) na natafuta wadau wa IT wanaotaka kuongeza knowledge kwenye JAVA, C, C ++, C#, PL, AJAX, PHP, MySQL, HTML,XML, LINUX, CSS, JAVA SCRIPT na WEB...
0 Reactions
0 Replies
984 Views
TECHNICAL TRAINEES Qualification: Bsc. Mechanical and Electrical Engineering, Bsc.Chemical and Processing Engineering Apply: E-Mail tbl-recuitment.dsm@tz.sabmiller.com Details:Mwananchi...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Qualification: Holder of Diploma or FTC in Water Laboratory from recognized Technical College Apply: Managing Director ,Mbeya Urban Water & Sewerage Authority Box 2932, Mbeya Details:Daily News...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hivi wanajamvi ukiwa unataka kaz ya customer care tigo,unapeleka applctn wap?
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Naomba mnifaamishi jinsi ya kupata kazi katika makampuni haya mawili kama una diploma ya manunuzi na usambazaji.asanteni
0 Reactions
10 Replies
11K Views
Habari zenu wakuu? natumai mko poa katika.mimi ni fresh graduate toka uclas(now ardhi university) kozi ndo hiyo property and faclities management degree class lower second.experience kidogo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu naulizia kama kuna mtu anafaham mahali zilipo ofisi za Social Security Regulatory Authority hapa Dar es Salaam Natanguliza shukrani
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Ndugu hivi tangazo la kazi linapohitaji mtu mwenye uzoefu wa miaka kumi wanakuwa wanhitaji wazee au kuna vijana wenye uzoefu huo au ni mbinu zao watoto wa wakulima tusiombe!
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina digrii ya nutrition kutoka SUA,na skilss on data collection and data analysis,project monitoring and evaluation,proposal and report writing,natafuta kaz wandugu,naona kila nikiomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina digrii ya nutrition kutoka SUA,na skilss on data collection and data analysis,project monitoring and evaluation,proposal and report writing,natafuta kaz wandugu,naona kila nikiomba...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
naomba wakuu kama kuna mtu anataarifa zozote kuhusu matangazo ya interview kwa kazi walizo tangaza mwezi uliopita katika chuo kikuu cha dodoma anifahamishe. Tafaadhali.
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa Kitanzania,si mkimbizi ndo maana nimeandika id ya kitanzania,ni mtaalam wa ku design website...Kwa atakae hitaji naomba ani PM. Jaman naombeni msaada wenu ndo nimejiajili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom