Stories of Change 2022

Awamu ya Pili. Nyanja: Maudhui yakilenga maeneo ya Elimu, Biashara/Uchumi/Ujasiriamali, Afya, Utawala Bora, Demokrasia, Kilimo, Sayansi na Teknolojia na Afya

JF Prefixes:

0 Votes
  • Closed
Kwa mujibu wa kifungu cha 60(1) cha Kanuni za Chaguzi za Taifa ( Uchaguzi wa Rais na Wabunge) endapo mchakato wa kupiga kura utaingiliwa au kuharibiwa na vurugu na bado kuna wapigaji kura...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi ya Taifa Kifungu cha 72, kifungu kidogo cha kwanza kinaeleza kuwa:- Hakuna mtu yeyote zaidi ya wafuatao anatakiwa kuwepo wakati wa kuhesabu kura , a) Msimamizi wa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Upvote 0
1 Vote
  • Closed
Kwa mujibu wa Kanuni za Uchaguzi za 2020 Kifungu cha 68 kifungu kidogo cha kwanza; Tume ya Uchaguzi baada ya kupokea matokeo ya awali ya Urais yatayoletwa kwao na wasimamizi wa Uchaguzi, baada ya...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Upvote 1
1 Vote
  • Closed
Habari wanaJF, Wakati tukielekea tarehe 28 Oktoba 2020 ambayo itakuwa siku ya kupiga kura kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani. Ni vyema ukafahamu yafuatayo: Ibara ya 41(7) ya Katiba ya Jamhuri...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Upvote 1
0 Votes
  • Closed
Kifungu cha 70(1) cha Taratibu za Uchaguzi 2020 kinaeleza kuwa:- Kila Chama cha Siasa ambacho kinashiriki Uchaguzi wa Wabunge ambao utafanyika baada ya kuvunjwa kwa Bunge kitapendekeza na kupeleka...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Kwa mujibu wa kifungu cha 68 na 69 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343 na kifungu cha 69 na 70 cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292, kituo cha kupigia kura...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Upvote 0
4 Votes
  • Closed
MAKOSA YA UCHAGUZI Kwa mujibu wa kifungu cha 89A cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, sura ya 343 na kifungu cha 88A cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, sura ya 292, Maafisa Uchaguzi...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Upvote 4
4 Votes
  • Closed
Tanzania’s election is scheduled for October 28, and although there are 15 parties in contention only two have any real chance of victory. Chama Cha Mapinduzi (CCM), the ruling party since...
4 Reactions
20 Replies
3K Views
Upvote 4
1 Vote
  • Closed
Umeshawahi kukutana na picha za ngono mtandaoni? Bila shaka jibu ni ndiyo. Ipo mitandao (porn sites) iliyojikita mahususi kwa ajili ya kutengeneza na kuonesha picha ama video za ngono. Mara...
1 Reactions
2 Replies
6K Views
Upvote 1
0 Votes
  • Closed
Utaratibu wa Kupiga Kura (i) Mpiga Kura atatakiwa kwenda na Kadi yake ya kupigia Kura Kituoni na kumpa Msimamizi Msaidizi Na. 1 wa Kituo; (ii) Msimamizi Msaidizi Na. 1 wa Kituo atasoma kwa sauti...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Wanawake walioko katika miezi ya mwisho kabla hawajajifungua, ambao wanalala chali au kwa maneno mengine kulalia mgongo wanakaribisha hatari ya kuzaa watoto njiti, kwa mujibu wa utafiti mpya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Kwa mujibu wa Sheria ya Gharama za Uchaguzi kifungu cha 58 kifungu kidogo cha 1, sanduku la kura linatakiwa kutengenezwa kwa namna ambayo inamruhusu mpiga kura kuweza kuweka karatasi ya kura bila...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Upvote 0
2 Votes
  • Closed
Mgombea Kujitoa Kwa mujibu wa Kifungu cha 48 cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, Mgombea anaweza kujitoa kugombea kwa kuwasilisha kwa Msimamizi wa Uchaguzi yeye mwenyewe barua ya kujitoa...
2 Reactions
17 Replies
2K Views
Upvote 2
6 Votes
  • Closed
Orodha ya wapiga kura kwa kila kituo itabandikwa siku nane (8) kabla ya Siku ya Uchaguzi ili wapiga kura walioandikishwa wapate fursa ya kutambua vituo watakavyopigia kura. Vilevile, Tume...
6 Reactions
16 Replies
5K Views
Upvote 6
3 Votes
  • Closed
Mambo yanayotakiwa Kufanywa na Vyama vya Siasa Mambo yanayotakiwa kufanyika wakati wa upigaji kura mpaka kutangazwa kwa matokeo ya uchaguzi ni pamoja na- (a) vyama vya siasa na wagombea...
3 Reactions
4 Replies
38K Views
Upvote 3
0 Votes
  • Closed
Eneo hilo lililopo Kaskazini mwa Jiji la Sydney nchini Australia limekuwa likijulikana kama 'Mlima Unaoteketea'. Kwa asili inaaminika kuwa mlima huo ni wa volkano lakini moshi unawaka...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Upvote 0
2 Votes
  • Closed
Ufafanuzi huu ni kwa mujibu wa kifungu cha 57 (1) na (2) cha Sheria ya Taifa ya Uchaguzi, Sura ya 343, na kifungu cha 58 (1) na (2) cha Sheria ya Uchaguzi ya Serikali za Mitaa, Sura ya 292 Chama...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Upvote 2
1 Vote
  • Closed
Zifuatazo ni njia zinazotumika ili kuhakikisha kuwa mtoto anawekwa katika mazingira ambayo yatamwezesha kuishi vizuri. Kuhakikisha ngozi ya mtoto inakuwa imegusana na ngozi ya mama ( skin to...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Upvote 1
0 Votes
  • Closed
Madaktari kutoka Hongkong wametoa matokeo ya utafiti waliofanya kwa waliopona #COVID19 na kugundua athari ya udhaifu wa mapafu Wakati wakitahadharisha kuwa ni mapema sana kufanya hitimisho la...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Upvote 0
0 Votes
  • Closed
Mfumo wa Uchaguzi Kwa Mujibu wa Jarida la Tume ya Taifa ya Uchafguzi Tanzania Ukurasa wa 8 Tanzania inatumia mfumo wa uchaguzi ambao mgombea anayepata kura nyingi halali kuliko mgombea mwingine...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Upvote 0
Back
Top Bottom