Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

0 Votes
UTANGULIZI Katika nchi ya Tanzania tatizo la afya ya akili, limekuwa ni moja la tatizo linalogonga vichwa vya habari kila kukicha. Kumekuwa na taarifa nyingi sana za watu kujiua kutokana na sababu...
0 Reactions
0 Replies
308 Views
Upvote 0
0 Votes
Mazingira ni kitu Chochote kinacho mzunguka mwanadamu mfano mito milima na mabonde,bahari,misitu n vitu vingi sana vingi. Ila katika hayo mazingira pia yako mazingira ya kubuni n yako mazingira ya...
0 Reactions
5 Replies
612 Views
Upvote 0
0 Votes
Katika jamii kote ulimwenguni, uhusiano kati ya raia na vikosi vya usalama una umuhimu mkubwa sana kwa masilai makubwa ya usalama wa taifa. Ni mwingiliano unaobadilika unaounda muundo wa uthabiti...
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Upvote 0
0 Votes
UTANGULIZI. Licha ya selikari kufanya jitihada kubwa katika huduma za afya, ikiwemo majengo ya kutolea huduma za afya na wataalamu mbalimbali. Bado Kuna changamoto katika upatikanaji wa bidhaa za...
0 Reactions
0 Replies
211 Views
Upvote 0
0 Votes
Kati ya mambo yanayoikwamisha nchi yetu ya Tanzania kufikia maendeleo ya kimiundo mbinu pamoja na maendeleo hitajika ni udokozi yaani upigaji wa fedha za umma. Hii imesababisha baadhi ya...
0 Reactions
0 Replies
117 Views
Upvote 0
2 Votes
Habari Wanajukwaa wote! Poleni na hali ya kimaisha ambayo tumekuwa tukiishi nayo kwa muda mrefu ambayo haikuwa na budi kutokea ila imefika wakati inabidi kuachana nayo kwa ustawi wa kila mmoja...
2 Reactions
0 Replies
180 Views
Upvote 2
4 Votes
Utangulizi: Vijana ni injini ya maendeleo ya taifa lolote. Wakiwa na nguvu, ubunifu, na ari ya kujifunza, wana uwezo wa kuleta mabadiliko makubwa chanya katika jamii. Hata hivyo, nchini Tanzania...
0 Reactions
1 Replies
517 Views
Upvote 4
0 Votes
Introduction Tanzania, often celebrated for its stunning landscapes and rich cultural heritage, faces a critical challenge: widespread sanitation issues. Despite global advancements in urban...
0 Reactions
0 Replies
158 Views
Upvote 0
0 Votes
Ufafanuzi wa Elimu Kidegitali Elimu kidigitali ni mchakato wa kujifunza na kufundisha unaotumia teknolojia za kidigitali kama kompyuta, vifaa vya mkononi simu janja, vishikwambi na mtandao ili...
0 Reactions
0 Replies
427 Views
Upvote 0
0 Votes
Nimefurahishwa sana na ukweli kwamba mimi ni Mtanzania. Hii si kwa sababu nina pesa sana na matatizo yote ambayo nchi yangu inakabiliwa nayo, lakini kwa sababu ninaona wakati ujao ni bora na...
0 Reactions
0 Replies
178 Views
Upvote 0
0 Votes
Background Information In recent years, Tanzania has experienced rapid urbanization, particularly in major cities such as Dar es Salaam, Mwanza, Arusha and Mbeya. This urban growth has resulted in...
0 Reactions
0 Replies
155 Views
Upvote 0
0 Votes
Kuifikia Tanzania tunayoitaka ambayo itakuwa kwaajili ya wanajamii wote ,tunahitaji mbinu mbadala ambayo itaunganisha watu wote husika na itahusianisha huduma mbadala kwa makundi husika ya jamii...
0 Reactions
0 Replies
136 Views
Upvote 0
0 Votes
SERIKALI ISISUBIRI MATUKIO NDIO ITOE AJIRA Serikali yetu imekuwa itumia ajira kutuliza matukio ya kisiasa, kiuchumi, au majanga yanayotokea hapa nchini. Ili kuwa na utawala bora Kuna haja ya kuwa...
0 Reactions
0 Replies
200 Views
Upvote 0
0 Votes
Ukiongelea haya mambo utajua ni utani,ila ukosefu wa hivi vitu ndio sababu namba 1 ya vifo vingi kwenye mkanyagano katika mikusanyiko na vifo kupitia magonjwa ya ghafla majumbani [emoji117]Kwa...
0 Reactions
0 Replies
171 Views
Upvote 0
0 Votes
TANZANIA TUNAYOITAKA NI ILE AMBAYO RAIA WANAIJUA SHERIA KAMA WANAVYOJUA WAJIBU WAO. Kwa muda mrefu tumekuwa tukihangaika na matokeo ya ukiukwaji na upindishwaji wa sheria bila kupambana na mzizi...
0 Reactions
0 Replies
164 Views
Upvote 0
0 Votes
Elimu ni Kitu cha msingi sana ili kuipata Tanzania Tuitakayo, Kuna baadhi ya mambo yakiboleshwa katika Elimu kuanzia ngazi ya msingi hadi Elimu ya juu:- 1. Ufuatiliaji wa mitaala kwa shule za...
0 Reactions
0 Replies
207 Views
Upvote 0
0 Votes
TANZANIA TUNAYOITAKA NI ILE AMBAYO INATHAMINI WANAOTUMIA AKILI KULIKO WANAJITOA AKILI. Tupo kama tulivyo kisiasa,kiuchumi na kijamii sababu ya kazi kubwa waliyofanya waliotutangulia ambao...
0 Reactions
0 Replies
140 Views
Upvote 0
0 Votes
Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizomo katika Ushirikiano wa Kusini-Kusini (South South developing countries). Ushirikiano huo unaashiria ushirikiano wa kisiasa, kiuchumi, na kiutamaduni kati ya...
0 Reactions
0 Replies
142 Views
Upvote 0
2 Votes
TANZANIA TUITAKAYO Black Author Utangulizi Dira halisi ya maendeleo ya taifa lolote linaloendelea,na lililoendelea katika mipango yake,huzingatia sana mambo mawili yafuatayo,Kwanza,ni nadhari...
1 Reactions
2 Replies
398 Views
Upvote 2
2 Votes
kilimo ni uti wa mgongo katika uchumi wa nchi.kutokana na matokeo ya sensa ya kilimo mifugo na uvuvi ya mwaka 2019/2020 yanaonesha asilimia 65.5 ya kaya zilizopo Tanzania zinajihusisha na kilimo...
0 Reactions
0 Replies
283 Views
Upvote 2
Back
Top Bottom