Stories of Change 2024

Awamu ya Nne. Tanzania Tuitakayo: Maudhui yanayolenga kuibua fikra tunduizi au mawazo mbadala kuelekea miaka 5 hadi 25

JF Prefixes:

2 Votes
Tanzaniani tuitakayo ya miaka 5 hadi 25 ni ile ambayo kwanza tukubali kuanda kizazi Bora kutoka chini ambacho kitakuwa kimeandaliwa katika Mfumo mzuri wa elimu, Siasa , uzalendo, na teknoljia...
0 Reactions
1 Replies
229 Views
Upvote 2
4 Votes
Mwanzo wa Safari ya Maisha ya Kijana Mmoja Jina Lake Hamisi Kijiji cha Nyumbani; Hamisi alizaliwa na kukulia katika kijiji kidogo cha Ngongoseke, kilichopo katika Wilaya ya Kondoa, Mkoa wa...
1 Reactions
1 Replies
260 Views
Upvote 4
2 Votes
There is one thing in universities especially for engineering takers called PROJECT, it usually pops up at the last year. Taking one’s idea into real practice is how I can shortly describe a...
1 Reactions
1 Replies
293 Views
Upvote 2
2 Votes
Wazo hili linahusu matumizi ya teknolojia ya blockchain katika usimamizi wa ardhi na hati za umiliki ili kuongeza uwazi, usalama, na ufanisi katika sekta ya ardhi nchini Tanzania. Blockchain ni...
0 Reactions
1 Replies
259 Views
Upvote 2
3 Votes
The Crisis and the Promise The sun beats down on Mwanahamisi's weathered face as she surveys her farm, a stark reminder of the agricultural crisis gripping Tanzania. Once vibrant fields are now...
0 Reactions
1 Replies
271 Views
Upvote 3
1 Vote
Hivi umeshawai kujaribu au kuona nini kinachotokea baada yakujaribu kujaza maji kwenye mtungi unaovuja, kwa hakika kitakachotokea ni kwamba maji yatakuwa yanaingia tu kwenye mtungi kisha yana...
0 Reactions
1 Replies
252 Views
Upvote 1
10 Votes
Nawasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania! Karibu kwa maada yangu. Awali ya yote, niwashukuru wote kwa kufika hapa leo. Acha nianze kwa kusema maneno machache kuhusu mustakabari wa...
7 Reactions
12 Replies
408 Views
Upvote 10
4 Votes
Kiongozi ni mtu mwenye maono ambayo yatakayowawezesha watu wake kufikia malengo flani waliyopanga au aliyonayo mwenyewe kwa maendeleo ya watu anaowaongoza na jamiii kiujumla. Uongozi ni kitu...
2 Reactions
4 Replies
259 Views
Upvote 4
7 Votes
Niwasalimu kwa Jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!!...... Awali ya yote napenda kujadili maada hii kwa Maslahi mapana ya Taifa. 👉Kizazi cha sasa na kijacho nchini Tanzania kinahitaji uongozi...
4 Reactions
8 Replies
333 Views
Upvote 7
8 Votes
UTANGULIZI - Tanzania tuitakayo ni ile ambayo wananchi wake wana utaratibu mzuri wa kujiwekea akiba. Akiba ni muhimu sana katika ustawi wa kibinafsi na maendeleo ya kiuchumi ya nchi. Kwa hiyo...
5 Reactions
9 Replies
525 Views
Upvote 8
1 Vote
Jambo la utoaji wa mikopo kwa wajasiriamali wadogo ambao wengi wao ni wanawake vijana na watu wenye ulemavu bado haitoshi kwa kiasi kikubwa. Ili kupata Tanzania bora tunayohitaji lazima serikali...
0 Reactions
1 Replies
396 Views
Upvote 1
0 Votes
Sanaa kwa kiasi kikubwa katika ukanda wetu wa bala la Africa kwa kiasi kikubwa imeanza kuwa sekta rasmi ambayo kama itawekewa mkazo kwa kiasi kikubwa sana inaweza kutoa ajira kwa watu wengi sana...
0 Reactions
1 Replies
208 Views
Upvote 0
5 Votes
UTAGULIZI VETA ni moja ya taasisi zinazo milikiwa na serikali ya jamuhuri ya muungano ya Tanzania,veta ni tasisi ambayo unazarisha watoa huduma na mafundi wa fani mbalimbali. Mafundi wa veta...
1 Reactions
1 Replies
385 Views
Upvote 5
0 Votes
Introduction: The technology sector has the potential to drive economic growth, innovation, and job creation in Tanzania. However, there are challenges that need to be addressed to fully...
0 Reactions
1 Replies
286 Views
Upvote 0
8 Votes
Imekuwa ni jambo la kawaida kila mara zifanyikapo sherehe za kitaifa (Sherehe za Uhuru, Muungano na Mapinduzi ya Zanzibar) kuambatana na maonyesho ya kijeshi. Maonyesho haya yamekua yakionyesha...
6 Reactions
24 Replies
1K Views
Upvote 8
3 Votes
Wasalaam mabibi na mabwana, kaka na dada zangu, awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa uzima na afya, pia nawashukuru sana waandaji wa hili jukwaa la Jamii Forum Story of Change. Kabla ya yote...
1 Reactions
2 Replies
293 Views
Upvote 3
2 Votes
Ulemavu ni hali ya mtu kuwa na upungufu kimwili ambao hufanya iwe vigumu kufanya shughuli kulingana na mazingira yanayomzunguka. Kuna aina nyingi za ulemavu kama usikivu hafifu, ulemavu wa viungo...
0 Reactions
18 Replies
711 Views
Upvote 2
4 Votes
Eneo la mada Miundombinu ya Usalama barabarani. Mada: UJENZI WA VITUO VYA DHARURA BARARANI ILI KUTOA HUDUMA KWA MAJERUHI WA AJALI ITASAIDIA KUPUNGUZA IDADI YA VIFO HAPA NCHINI. Uwepo wa...
1 Reactions
2 Replies
324 Views
Upvote 4
3 Votes
UTANGULIZI Miaka ya karibuni kumekuwa na kampeni na kiu kubwa ya wananchi, Serikali na Sekta binafsi kutumia TEHAMA kama njia kuu ya kuwezesha huduma kirahisi na kwa haraka, ila changamoto kubwa...
0 Reactions
1 Replies
360 Views
Upvote 3
4 Votes
Kuna nchi ninayotamani kuona ikijengeka, tena kwa kasi. Hii ni Tanzania iliyosheheni miti, misitu na uoto mwingine. Ili kuipata nchi ya aina hii, tunapaswa kutengeneza mikakati madhubuti, na...
1 Reactions
3 Replies
343 Views
Upvote 4
Back
Top Bottom