Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nahitaji kujua Ku design electronic CCT kama inverter, amplifier, security system, n.k Nahitaji miongozo, kielimu nipo chuo kikuu mwaka wa pili mechanical engineering ila napenda electronics CCT...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu.. nina simu aina ya Samsung Galaxy Ace 4 neo. Tatizi ninalolipata ni speed. Sielewi tatizo ni lipi hasa. Je ni RAM? SOFTWARE VERSION? au nini? Suala la software ilikuwa ipo built na...
0 Reactions
0 Replies
658 Views
Wataalam habari zenu, Nimekuja naomba msaada ninahitaji msaada juu ya kuanzisha Data Base ya watu wengi inafananaje hyo Data Base?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
za leo ndugu zantel wanakupa modem mpya ina 21Mbs kama downlink na 5.7Mbs kama uplink speed bado sijaanza kuzitumia so nauliza wenye uzoefu waniambie zikoje? speed yake pia tatizo langu ni warrat...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
habari za leo wanaforum yetu pendwa, kama heading inavyosema hapo juu. hapa ofisini kwetu zimekuja computer za msaada zikitumia N computing system. awali zilikuwa zinapiga kazi fresh tu. Ila sasa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wajuzi naomba msaada wa kuifanya Play store iweze kudownload kama kawaida.Play store imekuwa ikiandika download pending.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kifup napenda niangalie vitu vyangu vya kwenye smartphone kupitia tv screen. Kwa mfumo wa wireless naona kutumia wi fi ya tv ni bora zaid. Lakin nimeshangaa sony bravia tv yangu haina built in...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
wadau niliweweka kwenye archive files zangu kadhaa na kuamua kuzifungia kabisa na password. lakini sasa najaribu kuingiza password week ya tatu hii zote zinakataa. je kuna namna gani ya kuokoa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
akaunti yangu ya gmail imefungwa msaada hatua za kuirejesha.Nawasilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
rejea kicha cha habari hapo juu.Akaunti yangu ya gmail haifunguki.Nijaribu kuingia wanasema ukurasa haupatikani.Cjui tatizo nn kwa anaejua. hatua za kuweza kusolve hli tatzo. nawasilisha.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Simu yangu inakuwa inazima na kuwaka nifanyeje
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Galaxy note 2, line ya tigo haisomi mtandao ila internet inafanya kazi. Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
836 Views
Ndugu zangu hili tatizo la DNS Server not found mbona linazidi kuwa sugu Suruisho lake la kudumu ni nini hasa?
0 Reactions
1 Replies
830 Views
Walioitumia na wanaoitumia naomba wanisaidie tafadhali TECNO L5 inakaa na chaji kwa siku ngapi kwa data ya 3G ikiwa ON while on heavy usage. Je,TECNO L5 na L8,ipi inayokaa na chaji zaidi ya mwenziye?
0 Reactions
62 Replies
8K Views
nimenunua smartphone tigoshop ZTE kiss 3. line moja lazima iwe ya tigo lakini nyingine ni yoyote. tatizo upande wa line yoyote 3g haisomi. je ni kawaida kuwa hivyo kwa smartphone za tigo au...
0 Reactions
1 Replies
765 Views
naombeni kwa yeyote anae jua jinsi ya kuunganisha Whatsapp kwenye NOKIA ASHA 205
0 Reactions
5 Replies
3K Views
What people might learn from the combined companies after the Microsoft deal. Zara Kessler ZaraKessler June 27, 2016 — 6:20 PM AST You’re staring at a spreadsheet and you’re stumped. Waiting...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hi wanajamii mwenye uelewa wa kufanya installation ya Linux 17.3 ukiwa una run windows 8.1 (multiple OS) anisaidie plz
0 Reactions
4 Replies
1K Views
mimi natumia simu ya mchina tena mchina ambao wamejitahidi kuutengeneza unajitahid kwa kweli kupiga kazi chakushangaza toka ile siku ya TCRA ilipofika hadi leo simu yangu bado inajinwaga itajavyo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuflash cmu ni kosa kisheria lakn nashangaa kwa nn baadh ya mafundi wameandika mabango "TUNAFLASH SIMU,KUTOA LOCK N.K" Je hawa mafundi hawajui kama kufanya hvyo ni kosa? Au mm ndo cjui nn maana ya...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom