Ndugu wana Jf naombeni ushauri kuna rafiki yangu anataka kuniuzia hiyo ipod kwa tsh 200,000 kiukweli sijui lolote kuhusu hicho kifaa hivyo naomba maujuzi yen Ndugu zangu
Wanajamvii naomba mwnye kuelewa hli jambo anielekeze mana nimekukuruka sana bila mafanikio hivyo bas naomba anefaham anilekeze namna yakufuta PM.Asanteni
Nimeweka modem router nyumbani,ninailipia kila mwezi kwa shirika la simu nchini,Modem router yenyewe ni aina ya TP Link,150 Mbps,Wireless N ADSL2+, Model No.TD-W8951ND,tatizo langu kila nikimpatia...
Waziri wa ulinzi wa nchi ya urusi ameweka wazi kwamba internet kote duniani ipo chini ya kitengo cha usalama cha nchini marekani CIA na amewaonya watumiaji juu ya google searches.!
Msaada tafadhari ktk hilo! kama unaifahamu software ya kufanya photo slide ktk website then unai export ktk format ya gif au html codes (embed) na una link yake weka hapa basi...kama ina...
wanajanvi naomba msada kulink card yangu na CRDB visa na paypal. sio mgeni sana kwa mambo hays ila nimekwama cz nilikua natumia mastercard ya NBC kwenye paypal bila tatitizo ila huku nilohamia...
Habari wataalam, rafiki yangu amefika toka London na simu tajwa hapo juu. Orange wamei-lock, anataka ku-unlock, IMEI 352376053868251. Kwa niaba ninaomba unlock code
Nawasilisha.
Nimeletewa simu tajwa hapo juu kutoka marekani, tatizo lake haina sehemu yakuweka line
(iphone 4s with no SIM card slot)
Vipi hapa Tanzania nawezaje kuitumia hii phone kwa service providers waa...
tulikuwa tunatumia hao jamaa hapo juu ku download vitu mbalimbali,naomba kujua kwa sababu ni kama hazipo tena hewani???nimesoma nikaona USA Government shut them down?????
njia nyingine ya ku...
Take a look at Kayak.com HotelsCombined.com Cheapoair.com,Trivago.com aggragate live rates and availability of rooms and flights from multiple booking sites. They don't have booking engines, so...
jamani msaada kwa yeyote anayejua kuhusu hizi sim za HUAWEI Y200 anijulishe zinauzwa bei gani madukani? Au je tigo bado wanaendelea kuziuza? Au zilishaisha? Kama tigo bado wanaendelea kuziuza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.