Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu naombeni msaada wenu natumia nokia6120c ila nikidownload whatsapp inaanza kunambia utumbo huo wkt cm yng ina memory ya kutosha tu na ina app 2 tu operamini&uc browser na pia nishawahi...
0 Reactions
0 Replies
763 Views
Habari zenyu wanajamvi, Wazee tafadhari kama kuna mtu ameshafanikiwa kui-unlock hii modem tafadhari anisaidie ni wiki ya 3 tatu nime-google mpaka nimechoka hakuna mafanikio. Natanguliza shukrani...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari waungwana wa Jf, Naomba kusaidiwa jinsi ya kuweza kudownload nyimbo ziliko kwenye MUZIKI NET, sio siri kuna nyimbo za makabila mbalimbali ya hapa nchini nazipenda sana ila nimejaribu...
0 Reactions
5 Replies
26K Views
kama tunavojua leo dili la nokia/microsoft limekamilika, tujikumbushe simu za nokia zilimake headline kabla jamaa hawajanunuliwaNokia 1011 iliyotolewa mwaka 1992 ndio ilikuwa nokia ya kwanza ku...
4 Reactions
38 Replies
6K Views
Habari wakuu, hivi karibuni hard disc yangu ilikuwa inazingua so nikaiformat then nikaifanyia partition,baadae nilipokuwa nahitaji kufanya recover vile vitu vililudi ila vinagoma kufunguka hasa...
0 Reactions
3 Replies
783 Views
Wadau nina tatizo pc yangu katika localdisk c kuna space kama 9GB hivi haionekani sasa kama kuna software naweza rudisha hii space naombini msaada.
0 Reactions
2 Replies
803 Views
Wadau natumai mko safi na Jumapili imeingia vema! Ninaomba msaada jinsi ya kurudisha folder zilizokuwa deleted na kwenye recycle bin zikaondolewa pia. Najua humu JF wapo wataalam, nimepoteza...
0 Reactions
8 Replies
6K Views
Najua wengi wamekuwa wakilalamika wanapotumia whatsup kwa vile hutunza muda ambao uko online au last seen. Je unataka kutoa last seen kwnye whats up .... Usitokwe na jasho ni rahisi sana Ingia...
3 Reactions
41 Replies
4K Views
Waziri wa ulinzi wa nchi ya urusi ameweka wazi kwamba internet kote duniani ipo chini ya kitengo cha usalama cha nchini marekani CIA na amewaonya watumiaji juu ya google searches!
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Wakuu msaada jinsi ya kuactivate/validate win 7 professional, kama kuna mtu mwenye link naomba msaada.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Wanab0di. Hivi hizi simu zinaz0tumia andr0ide km htc,techn0 na huawei ambaz ni t0uch,je kwenye internet zinamfum0 kama una0tumiwa na blackberry(I mean kununua bundle) au mtu ukijiunga na vifurishi...
0 Reactions
2 Replies
859 Views
heshima kwenu. nmedownload adobe photoshop cs2 tatizo lipo kwenye installation inahitaji serial # na mm nmedownload setup peke yake kwa yeyote anaye weza nisaidia hizo serial namba naomba msaada...
0 Reactions
0 Replies
710 Views
My take ! UC Browser ! Naweza ku customize background colours as i want ! Na displayable gif images ! Stylish ! ===>Chaguo ni lipi wewe !
1 Reactions
22 Replies
4K Views
Wadau nisaidieni demu wangu ana simu nokia 2600c, nyendo zake zimebadika sana kila tukionana jioni nakuta no na sms zote kadelete kabakisha zangu tu tofauti na zamani. Mfano asbh nareset call...
0 Reactions
62 Replies
8K Views
natumia s4 lakini kila nikitaka ku upload picha humu jf inakataa..msaada kwa anayefahamu ani elekeze.natanguliza salam
0 Reactions
2 Replies
770 Views
Tigo tupeni access ya JamiiForums Bure without Data Charges ! Nadhani hili linawezekana !
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Habarini. Wakuu , Nimetumia Support Library ya Appcompact v7(Support Library ya Android) ili ku add ActionBar na Tabs kwenye Devices Ambazo zina run android version ya 3.0 kurudi chini...
0 Reactions
0 Replies
587 Views
habari wana jf Gari yangu iko chini sana inagonga kwa chini kwenye matuta nk sasa nimepewa ushauri wa kuinyanyua .Je endapo ntainyanyua kuna madhara yeyote yanaweza tokea kwenye gari yangu...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Thread Deleted
0 Reactions
0 Replies
599 Views
Wakuu wa Kitengo hiki salaam sana. Nina External HDD ya TRANSCEND ya 500 MB ambayo niliwekea password kwa usalama wa data zangu. Sasa for some reason computer niliyokuwa natumia ambayo ilikuwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Back
Top Bottom