Hv wanatech naombeni kuuliza kuwa kwnn whatsapp huwez kutumia kwa njia ya website yan mpaka udownload app kwa mfano fb unaweza ukatumia kwa app au ukaingia kwa website.NAWASILISHA
Habari wakuu, naomba mwenye uelewa wa concepts hizo hapo tajwa atufafanulie zaidi kwa kiswahili, maana ni vitu ambavyo nimekutananavyo mara nyingi kwenye computer, tv na dvd player, lakini bado...
Habarini wakuu,
Najaribu kuconnect wi-fi kutoka kwenye simu yangu samsung pocket model GT-S5301 ili niitumie kwenye tablet 5 samsung windows 8..lkn kila nikijaribu ku connect inaniambia...
Nina samsung galaxy s2 nahisi ina tatizo la charging system. Niki plug charger inaniambia battery disconnected. Natafuta fundi wa uhakika awe yupo mitaa ya posta au k.koo na bei zake ziwe...
Pole na majukumu wakuu wote. Naomba mwenye kufahamu smart phone nzuri aina ya LG anisaidie nataka kununua moja. Ningependa kujua bei zake ,uimara, kukaa na chaji kwa model tofauti pia na...
simu yangu ni Samsung Galaxy ace program ya youtube niliifuta ili nilivyo kuja kuidownload tena upya haisomi inaniandikia kama ilivyo hapo sijui tatizo n nn msaada
Nina website najaribu kutengeneza natumia 000webhost.com kama hosting... Nimejaribu free hosting
Tatizo n
Ni kwamba kwenye localhost website ina function vizuri data zinakua passed kwenda...
Printer ndogo imegunduliwa na waisrael ambayo itakuwa sokoni mwanzoni mwa mwaka 2015
Israeli Startup Makes World's First Mobile Printer
Jerusalem students capture the world's attention by...
HAKUNA HAJA YA KUMALIZA WINO WAKATI MATE YAPO, KAMA KWELI UNAMBAVU TIA MIGUU YAKO HAPA
Video Hii ya maelekezo ina 2mb pekee
http://youtu.be/jwFAHs1a4Zw
Kwa Vigezo na Masharti Pamoja na Jinsi...
wakuu leo nikatakiwa kuapdate facebook messenger.kipya nilichokikuta sasa naweza kupiga simu free.kwa kuthibitisha hili nilifanikiwa kuongea na rafiki yangu mwenye version hii mpya.angalizo ni kwa...
Like many small business owners, you may believe your business cannot benefit from having a website or that a website is not within your budget. Or maybe you think because you dont...
Jaman nisaidieni hapa, nataka niweke os nyngine kwenye laptop rakini haina mlango wa cd na nikiiwasha kwenye boot mode hakuna boot from usb or flash. Je tawezaje kuweka window nyngne?
wadau najaribu kuinstall antvirus ya AVG ambayo ni free lakini naletewa SETUP ERROR naandikiwa * this platform is not supported by this installation package.please ensure that you have...
Wakuu simu tajwa hapo juu ndio ninayotumia toka mwaka jana, mwanzo ilikuwa ina operate vizuri ina reboot automatically na kujiwasha. Baadae ikawa ina reboot lakini haijiwashi. Sasa wiki ya pili...
Wakuu nilikuwa natumia symbian phone ilikuwa ina video editor nzuri tu ila sasa hv nimehamia kwny ulimwengu wa android je naweza kupata the best video editor au hata ya kucreate video ile ambayo...
10 innovations that changed the world
Twenty years ago, the idea of listening to a song on anything other than a CD, cassette or LP would have seemed fanciful.
Yet from music to medicine and...
Maana hizi bei ni za ajabu kabisa, kuna wengine watasema bei sio everything lakini kwa gap hii inakuwa vigumu hata kuwafikiria. Nimefananisha na Voda kwa vila ndo ninayotumia.
1 GB Bundle Smile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.