Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nauza samsung potable laptop , unaweza charge kwa umeme au jua(ina solar panel) , RAM 1 GB, internal hard disk 280GB, pentium M, 32 bit, imenunuliwa miezi michache quality centre , sasahivi nauza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau habari ya mapumziko ya week end, kwanza nauliza swali, je! inawezekana kuifanya Android smartphone kuwa moderm kwa kuiconnect kwenye PC? Pili, kama jibu ni NDIYO, naomba kuelekezwa jinsi ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wandugu. Kutakua na training ya jinsi ya kutengeneza application za Android kwa siku tano pale Arusha Technical College kuanzia tar 12May 2014. Bei ni 80,000. Kwa reservation tuma sms...
0 Reactions
0 Replies
807 Views
Nimeambiwa kuwa naweza kutumia simu kama moderm ya laptop aidha kwa Bluetooth, WI-FI au USB tethering. Swali langu ni kuhusu ulaji wa MB's zangu. Je ninapotumia laptop zitaisha haraka zaidi ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wa jf naombeni msaada jinsi ya kutatua hili tatizo: kutokana na mvua zinazo endelea juzi nimekuta pc yangu imenyeshewa na mvua na kuzima kabisa je inaweza poa au ndo nijipange tena kununua pc...
0 Reactions
4 Replies
962 Views
natumain mu wazima ndugu zangu wataalam wa android...mwenzenu ninaomba msaada wa kujua kama kuna njia au application yeyote ambayo itaninipa option yaku switch network niitakayo hasa 3g...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapendwa habari zenu. Nilikua ninaomb nipate msaada kwa wale wenye utaalamu na Mambo ya Web Hosting activities,nilikua nataka nijifunze,naombeni sana wandugu.
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Naomba kwa anaetumia tufahamishane inakuaje nikiingia kwenye google kusearch info inakubali ila you tube imegoma na pia play store haifungui.
0 Reactions
31 Replies
2K Views
habari wanaJf science,hivi kunauwezekano wakupata mawasiliano ya simu(sms na calls) ya mtu mwingine kupitia simu ya mkononi?nielimisheni wakuu. Natanguliza shukran.
1 Reactions
1 Replies
805 Views
Habari wakuuB-) Ningeomba kujua eti nokia c2_00 whatsapp haiwezi kutumika nawasilisha.
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Swali kama lilivyjieleza msaada jamani
0 Reactions
3 Replies
988 Views
Habari zenu wakuu.Natumia Nokia Lumia 610, Ni black yenye storage 8GB na OS ya Microsoft Window 7.5 Mango. Bado ipo ktk hali nzuri ya kuvutia. Nataka nibadili upepo wa OS, toka Window kwenda iOS...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Hi wadau, mida ya saa mbili usiku nimelipia huduma ya azam kwa kutumia mtandao wa simu,nimepokea sms kwamba nimefanikiwa kujiunga na ikanipa na jina langu kabisa,cha kushangaza mpaka sasa channel...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
msaada kwa mwenye kujua hili tatizo...natumia huawei ascend y 300 natumia line ya airtel kila nikipiga simu inakata kabla hata haijakonekt na nikiuliza salio napata meseji inayosema ''..connection...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
http://youtu.be/4F42bbctmWM DNA's Brother Creates Kenya's First 3D Videogame! Published on Friday, 18 April 2014 12:36 Written by Linda Kimaru How great would it be if you...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
kwa wale wote wafanya biashara wadogo na wakubwa. wanafunzi kutoka THE STATE UNIVERSITY OF ZANZIBAR (SUZA) wamo katika hatua ya mwisho kutengeneza app ya simu za android kuwarahishia wafanya...
0 Reactions
1 Replies
821 Views
habari wakuu,mimi mda mwingi natumia internet kutokana na kazi zangu ,so nilikuwa naomba kama kna njia nyingne ya kunisaidia atleast na mimi nipate cheapest way ya kununua internet coz kwa siku...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
Samahani Wandugu naombeni Key Product key za Window 7 Professional,Machine yangu inanisumbua, inashindwa kufanya kazi kiufanisi na inaniambia Windows is not genuine, imeniandikia haya maneno...
0 Reactions
4 Replies
903 Views
Tupia tatizo lako litasoviwa soon...kwa gharama ya tsh.4000
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kujua bei ya sola nzuri na aina ambayo inaweza; kuwasha tv,kuchaji simu na friji.
0 Reactions
10 Replies
23K Views
Back
Top Bottom