yeyote mwenye huelewa na kingamuzi cha zuku
hapa kuna kingamuzi hichi nataka kulipia but sina number namba yake ya acount
naweza fanyaje niweze lipia?? thanks
APR
20
App ya Google Camera Kwenye PlayStore
Google inaendelea kuwapa chaguo wale ambao wananunua simu kama vile Samsung na HTC kutumia kutumia apps ambazo ni za asili za Android (Stock...
Man City na Teknolojia ya Hali ya Juu
Kikosi cha Man City
Miaka kadhaa iliyolipa umaarufu wa timu hii ulikuwa noisy neighbours kwa maana ya kwamba wana kelele dhidi ya wapinzani wao wa...
Mambo vp wadau,ndugu, jamaa na marafiki
Leo naomba msaada mmoja tu kutoka kwenu, ni jinsi gani nita unlock website zilizofungiwa,kwa mfano maofisini utakuwa website kama facebook,youtube n.k...
Habari wanajukwaa.
napenda kuwajulisha kuwa sasa unaweza pokea fax zako zote kwa kupitia simu yako ya mkononi kwa kupitia huduma yetu ya fax2Email inayotolewa bure kabisa. unachotakiwa kukifanya...
Hizi simu bana majanga kweli
1. Hazina option na 3g only zina highest connection ambayo unachagua 3g lkn hata km uko katikati ya jiji inakuletea 2g tu
2. Network (internet) sharing haikubali kila...
jamani nlikuwa na folder lock yangu sasa ilikuwa trial kama kuna mtu anaweza kunisaidia ambayo sio ya dizyn hyo antumie hata link ni download hapa plz,au jinsi ya kuitumia hyohyo ila pia...
Ndio wakuu! Lengo langu na dhamira yangu ni kutaka kujifunza mobile phone repair & maintenance (software & hardware). Sasa wakuu ni wapi ambako naweza kupata mafunzo haya? Ahsante sana!
JE wewe ni mtumiaji mkubwa wa mtandao wa internet?,,na huridhiki gharama unayoitumia?,,basi njoo nikupe gb za kutosha kutumia mwezi mzima kwa gharama nafuu,,,hata ukiitaji GB2000,,NITAKUPA...
Jamani cm yangu tajwa hapo juu inazingua imwkata baada ya kutoa line nilivyorudisha inaniambia niende kwenye settings
kila nikijaribu nachemka msaada wadau
Where and when to see Tuesday nights blood moon
Red, red moon ... a file picture taken in Manassas, Virginia, shows the moon during the peak of a total eclipse on December, 21, 2010. Picture...
Wakuu jiko langu la umeme la plate nne na oven linapitisha umeme wa shoti. Tatizo liko hivi, hata ukiwa umezima socket ya ukutani ya jiko umeme ubapita na unarusha sana kwa shoti. Nilishamleta...
Wakuu, Nina-install ms word 2007 na ninapata error hii: ''setup can not find proofing.es-us\proof.fr\proof.cab\'' Baada ya hapo setup haitaendelea, kama umewahi kukutana na hili na ukafanikiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.