Nokia expects Microsoft to finally take
control of its devices division on April
25th, the company announced today. The $
7.2 billion deal first announced in
September of last year will...
What's new:
Action Center to hold all of your notifications, plus customizable quick toggles
Cortana virtual assistant at your command
Universal Search
Start background on all of your...
Pc yangu ambayo ni mini aina ya asus inatatizo ambalo linajitokeza pindi unapotaka kusoma thread inaleta ujumbe kuwa'done-but with errors on page' je nifanyeje wakuu/nirekebishe kitu gani
Nikitaka kupiga picha kwa kutumia aimu yangu ya samsung galaxy mini inaniandikia hivi '' Camera failed error messagehandler. Handlemessage (-1)" na siwez kupiga picha je tatizo nini naomba msaada...
Natumia firefox kwa laptop ila kila nikiweka gmail au yahoo haiconnect inatoa sms THIS CONNECTION IS UNTRUSTED nawezaje kufanya iwe trusted site coz zingine zinakubali,nimejaribu kuinstall latest...
Kama ni mfuatiliji wa videos za arabic drifting from youtube utagundua kuwa sisi magari tunababaisha kuendesha. Wapo wanaojua kuendesha bwana ila sina hakika barabara na magari wanayotumia ni sawa...
Katika harakati za kupangiwa vituo vipya vya kazi nilijikuta nimepangiwa sehemu isiyo na umeme imenibidi kununua solar panel wat 50,betri N70 na invetor SI 150 sasa hapa nataka kuchukua tv flat...
Mwenye product key za mircosoft office professional plus 2007,naomba anisaidie jamani ninashida nazo sana ukizingatia nashindwa kufanya kazi zangu kwa sababu hio....naamin nitapata watu wenye hii...
Wadau naomba msaada,nafanyaje niweze kuona full screen tbc1 kwenye kisimbusi cha azam tv? Natanguliza shukrani....unaweza kuni pm au whatsap 0753 380 229
Nina jazba sana kutokana na dharau zinazooneshwa wazi wazi katika fani ya computer science na IT nafikiri umefika mda sasa na hizi fani kue na standards zinazoelekeza viwango na utaalam na...
wakuu najiandaa na mtihani wa CCNA, ningependa kupata network simulator mfano CCNA NetSim au aina yeyote
ambayo naweza kufanya utundu wote wa networking. Unaweza reply kwa ku attach cracked...
Hello there,
Naamini jf ni kila kitu na hapa kuna wataalam wanaofahamu hii kitu
Hii ni software nliambiwa na rafiki yangu kwamba naweza kutumia kuunlock simu yangu (huawei y300 by then) ila...
Habari zenu jf users
Naomba ushauri juu ya nini kinachotakiwa kufanyika ili uweze kuanzisha magazine ya matangazo kama vile advertisingdar ilivyo na web ya matangazo
Pia vipi namna ya kusambaza...
Wakuu,hii tecno yangu nikmpigia mtu siwezi kumsikia mpaka niweke loud speaker,na mtu akinipigia the same mpaka niweke loud speaker,hebu nijuzeni tatizo liko wapi maana mwanzoni ilikua inafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.