Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Kazi ya Jamii Forums sio tu kupashana habari, Social Networking,nk. bali pia kusaidiana pale inapowezekana. Nimeona watu wana shida ndogo ndogo katika masuala ya technology upande wa...
8 Reactions
21 Replies
2K Views
Wakuu, Nasikia kitu hiyo ukiwa nayo huna haja ya kuwa hata na DSTV.Nasikia inakamata machannel kibao na inatumia vocha ya sh 5000 kwa mwezi.Nimeambiwa bei yake ni Tsh 300,000,kazi yake ni kama...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
heshima yenu wana tech n gadget forum naomba msaada wa kupta sim card slot ya iphone 3gs either dukan au kama unapafaham kokote wanapouza!!
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Habari wana jf wenzangu nina kamera yangu ya picha ya digital inatumia memory card kama ya simu kuhifazia picha.juzi nimeenda studio picha zilikuwa zinaonekana lakini tulipoweka memory card...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi All, Today Monday 20th Jan 2014 we are going to have our Mobile Monday event. This month we are going to look at the Status of Mobile and Online Payment in Tanzania. The...
0 Reactions
1 Replies
883 Views
ARSELONA,NYONDOLOJA na wadau wengine woooote wa masuala ya satellite dishes,kwa hapa dar hiyo satellite naeza pta kwa dish saiz gani na lnb gani ya ku inayofaa?pili naitaka receiver hiyo,je...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba mnisaidie jamani nataka kuchua progra mbalimbali kwa ku dounlod katika internet ili niweke kwenye computer.nimeshindwa kabisa jamani nisaidieni wa Jf
0 Reactions
26 Replies
3K Views
OMG, its a natural death. Nimebaki na moderm tu. No data. Vocha niliweka za mwezi mzima. Hakuna connection. Najaribu kuangalia salio - no response. Mweee customer care je, hakuna majibu. Nikaenda...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
nina pc yangu TOSHIBA nimepiga window 7 bt haidetect device(usb) yeyote,kwaiyo nilikuwa naomba ufumbuzi wa hili tatizo.
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Yaani nadhani kati ya km nne au tano kwa lita moja. Wafundi wanasema nibadilishe nozzle niweke za tundu mbili maana zilizopo ni nne. Je itasaidia?
0 Reactions
101 Replies
18K Views
Naomba msaada wanajamii, nina laptop toshiba satellite A200. ilikuja na Vista Basic. Nika-install Windows 7. Tangu hapo ikapoteza kuona DVD Writer. Haionekani kabisa. Ila ukiweka CD inaonesha kuwa...
0 Reactions
1 Replies
762 Views
Wadau mbona chanel zangu leo zinaandika Smart card never paired msaada tafadhali tatizo nn
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina simu yangu HTC wildfire s. Inakataa ku-conect na internet. Nifanyeje? Natumai msaada kutoka kwenu. Ahsanteni.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani wadau. Naombeni msaada wa kupata leather cover ya tecno l3. Mwenye msaada ani Pm tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
660 Views
habari...naomben msaada kwa yeyote anayefaham application ya kusoma novels kwenye cm
0 Reactions
0 Replies
668 Views
Hold power button and immediately press Vol - . You will print screen of your tecno l3. Without rooting..
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, kuna hizi TV zinazotumia nguvu ya jua ( solar TV ). Mimi nazisikia tu ila sijawai kuziona hapa bongo. Sasa nataka kujua hiki. Nasikia panel yake inahamishika. Yani unaichomoa kwenye...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kujuwa hii receiver ya echolink el-9888 hd ina fanya kazi na inauzwa pesa ngapi madukani
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Wakuu nahitaji Desktop kwa ajili ya studio so kwa haraka haraka kuna laptop ambayo sina matumizi nayo kwa sana. so mwenye CPU ambayo iko powerful kuliko HP Laptop Inauzwa at Cheap...
1 Reactions
0 Replies
748 Views
Habari zenu wakuu.. nimeingia kwenye blackberry world lakina sijaikuta application ya JF.. Je ni kwamba bado haijatoka au.? Natumia blackberry q5 iliyo na BlackBerry OS 10.. Cc. Invisible...
2 Reactions
3 Replies
658 Views
Back
Top Bottom