Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu wa jukwaa hili! Kwa wanaofahamu ningependa kujulishwa visumbuzi vya azam ni model gani na je vina hdmi port? Nataka nijue pia kama naweza tumia hicho king'amuzi na lcd monitor yangu...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
:grouphug:found somewhere...labda mtu mwingine anaweza akapenda pia :typing: nilikuwa na tatitzo la ku-activate iphone yangu but nilipata solution baada ya kucheki hapa ....you welcome...
0 Reactions
2 Replies
985 Views
Wanajamii, ni mategemeo yangu munaendelea vyema, tupo kwenye mchakato wa kukamilisha ufunguzi wa ofisi zetu za branch ya dar, hivyo tunahitaji vijana wenye nguvu, ari, moyo na uwezo wa kazi, na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari jf. Nataka kudownload hii application kwenye simu yangu (sony experia) jee inaweza kufanya kazi? Au mpaka kwenye computer? Naona ni kubwa sana
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba mnitajie apps nzuri za kustream mpira online via smartphone ya Android........ Natanguliza shukrani wakuu.......
0 Reactions
2 Replies
630 Views
kwa anaejua kuitumia hii prog naomba aokoe jahazi
0 Reactions
0 Replies
771 Views
naomba fahamishwa wapi nitapata taa za mbele, za nyuma, medgadi na boneti vya Nissan x trail ya 2002. naomba bei zake pia. unaweza ni PM kwa maelewano
0 Reactions
0 Replies
704 Views
Wakuu me si bora sana katika teknolojia ya simu za mkononi, nataka kununua simu na nimepata option ya simu mbili kati ya hizo tajwa hapo juu, najua kuna wataalamu humu naombeni mnipe wazo ipi bora...
0 Reactions
42 Replies
8K Views
Msaada, nina simu alphone Model No. S7562 haifungui web page ya facebook. Nifanyeje?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Sorry but this does nat work anymore.. Systems are fixed, up an runin.. Pole kama imekupita.. Maybe next time ull be the first to know! :poa:
8 Reactions
102 Replies
19K Views
Natumaini ni wazima wa afya. Naomba yeyote mwenye utaalamu wa hiyo kitu hapo anipe ujuzi. Thanx
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wana TECH.? Nimewah kutumia simu mbalimbali zenye os tofauti,mfano:- NOKIA LUMIA 620(WP 8).. SAMSUNG GALAXY S3(ANDROID,ICECREAM SANDWICH).. TECNO P5(ANDROID JELLYBEAN).. Os...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
hizi ni baadhi za Eaphones ambazo ni maarufu sana. si mbaya kama ukizielewa
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Hello wanajamii, Nimetumiwa blackberry bold 9870 T-Mobile toka US, aliyenitumia ameniambia imeshakuwa unlocked, lakini sipati services zozote nikiweka line yangu ya Vodacom. Nimeenda Vodacom...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari! Nitapata wapi betri mpya ya HP Probook 4510s na bei yake ni shillingi ngapi?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
:grouphug:nimeiona sehemu fulani nikawa interested nahisi pia kuna mtu atakuwa interested pia :typing: Edit ArticleHow to Create a Free Virtual Wifi Hotspot on Your Laptop...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
nimeweka Jellybean 2.3.6 kwny Galaxy Y shida nikipiga picha znatoka zmegeuka upande nisoutaka, Seting za camera naona Zipo Okey, msaada wako Tafadhal
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Guys, I don't know what what I was thinking, Jana mchana kuna sehemu went to fetch some movies and found out that my 1.5TB external hard drive is full and so had to delete some movies randomly...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilinunua TV aina ya LG (LED) 47 Inch tokea mwaka February, 2012. Nimeitumia vizuri tu lakini ilipofika March 2013 ikaanza ugonjwa ambao mpaka leo unaendelea.Ukiiiwasha na kutumika kwa muda kama...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mysterious rock found by Mars rover: 'We were absolutely startled'By Mike Krumboltz, Yahoo News 14 hours ago The Sideshow...
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Back
Top Bottom