Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Mimi nina dish la futi sita na lnb 1 na ku band 1, lakini star tv na tbc1 zinasumbua sana hazipatikani ch 10 ina scatch vibaya nifanye nini au hawa jamaa signal zao zipo weak msaada unahitajika...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Facebook has spread like an infectious disease but we are slowly becoming immune to its attractions, and the platform will be largely abandoned by 2017, say researchers at Princeton University...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
wadau naombeni mnijuze katika hili nini ni tofauti kati ya antivirus na internet security....je zinafanya kazi sawa au .natanguliza shukrani
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Nikitaka kupiga napokea warning Camera error au errorCall back. Nifanyeje?
1 Reactions
0 Replies
993 Views
nimecopy movie ambavo ipo kwenye mfumo wa VCL kwenye flash disc na lengo langu ilikuwa ni kuiangalia hyo movie kupitia deck yangu ya samsung ili kitu kidisply kwenye big screen sasa tatizo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello Jamii forums member I am 25 years old male, with good health thus I can work in different conditions. I am form six leaver, holding grade II of electrical and...
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Wadau naomba mnijuvye,nahitaji printer kama nilivyoianisha hapo juu.Kwa anaefahamu bei yake pls naomba msaada. Kwa wakaazi wa DAR na Arusha wapi naweza kuipata...
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Nina Dell Niliachiwa Ni Old School Dell Latitude D630 Ina 2GB Ram, 1Gb Processor 250HHD. Inasumbua Kila Mara Ninapotaka Kucheza Gemu like GTA Vice City Au Kufungua Program Za 3D Edit Huwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu. Siku 3 zilizopita nilipoteza Galaxy. Leo nimejaribu kupiga no ambayo niliipoteza na huyo simu ikawa iko hewani ila haipokelewi. Naomba mnisaidie ni jinsi gani naweza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Msaada eti kuna king'amuzi kinaitwa xmaster na kinaonyesha channel gn?
0 Reactions
1 Replies
581 Views
anayejua msaada pliz
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari zenu Wakuu, nina Fifa 14 ambayo ipo Cracked na Nos Team. Haina tatizo lolote lile, kwa wale wapenzi wa mpira wanaifurahia sana hii Game. Mimi nipo Dar na sidhani kama nitatoka nje ya Dar...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Wakuu, Kwema? Nimekutana na hii app katika pitapita zangu. Kwa kifupi hii ni app inayo f(x) kama air gesture ya kwenye S4 na other devices. Iko poa kwa namna flani and its really cool n...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Wanajamvi naomba kujuzwa flash aina gani ni nzuri
0 Reactions
14 Replies
4K Views
naombe nisaidieni za voda APN: _________________ APN Type: ____________ Proxy:________________ Port:_________________ Server:_______________
0 Reactions
2 Replies
1K Views
China has always tried to support its homegrown tech industry and even the security concerns over U.S. secret surveillance which gives Chinese Government another reasons to trust domestic...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Calling all hackers. Google is handing out the big bucks. Yesterday, the tech behemoth announced plans for its fourth annual hackathon (called Pwnium 4: "Pwn,"the act of breaking into a...
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Wakuu simu yangu tajwa hapo juu nikizima haiwaki hadi niisogeze kwenye chaja ipate moto hata kama ilikuwa imejaa halafu ndo inawaka. Tatizo limeanza leo. Je nifanyeje ?
0 Reactions
14 Replies
3K Views
niko chuo kilimo hapa Arusha,kuna tatizo kubwa hapa chuon la shortcuts cjaelewa n virus or what,ukichukua program toka computer moja kupeleka nyingine unaikuta iko shortcut ila ukiiclick inafungua...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Vp wakuu? ivi ni software gani bora ya ku unlock huawei modem? (sio code calculator). Halafu vipi kuhusu zile modem za huawei unakuta hazina IMEI(hususan za zantel) but zina S/N pekee,tunafanyaje...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom