Desk top yangu inanisumbua kwenye interne t system, nikiweka modem inasumbua kwa ku-search mda mrefu, sasa kuna jamaa mmoja anayesomea IT akaniambia kuwa tatizo la internet kwenye computer yangu...
Habari Ndugu zangu wana JF,
Nimepata Simu ambayo ilikuwa inatumiwa Korea,numeweka line ya Tigo nikiangalia salio napata this prompt msg;
Roaming RoamingAutoDial
Call Korea
Call other...
Nina Dell Niliachiwa Ni Old School Dell Latitude D630 Ina 2GB Ram, 2Gb Processor 250HHD.
Inasumbua Kila Mara Ninapotaka Kucheza Gemu like GTA Vice City Au Kufungua Program Za 3D Edit Huwa...
on is considering replacing thousands of troops with robots, a military commander said recently, marking the first time a DOD official has publicly acknowledged that humans would be replaced with...
Wakuu,
google nimewavulia kofia katika swala zima laku sync data. mwaka juzi kwa kipindi kifupi nilitumia android device ya bro wangu mmoja hivi ambaye kamwa sasa ni marehemu. kufanya...
Rejea post HII
Kifaa hiki kimeboreshwa zaidi,sasa kinatumia stabilizer moja badala ya mbili,na saketi zimekuwa mbili badala ya moja.
kinafanya kazi vizuri sana;kwa maelezo zaidi soma HAPA
wakuu nina sd ya 16GB, na nimeset appa ziwe installed kwa sd. nimekuja kugundua kwamba apps zenye high data usage zinakula intern mem. kwan free space yangu ni 14.2 GB,sasa nahitaji msaada wa...
Habari zenu wakuu poleni kwa kazi ya kusaidia members wenye matatizo tofauti-tofauti. Na mimi nimepata tatizo leo.
Baada ya kufanya ubundi na Wajanja Night Offer usiku wa leo, modem ilihang-up...
(Not sure where to post this, here or in JF store... Mods move it where appropriate)
Habari wana-JF,
I came across this kwenye my Google+ Android development community. Ni collection ya vitabu...
Jmani naombeni msaada TBC Imegoma kutoa sauti, Natumia DSTV. Kipindi chanyuma ilikua inatoa imegoma juzi leo cku ya 3. Ila station zingine sauti kama kawaida Cjajua TBC cjajua kuna tatizo gani...
Its my pleasure to announce the launching of New Discussion Forums in Information Technology: Hosanna Higher Technologies Forums . Its a high time Tanzania have its dedicated forums in the arena...
With its 9-inch, black-and-white monitor and graphical user interface, the Macintosh 128K represented a turning point for technology, and a first step for what has become one of the most popular...
Habari waungwana...Nina laptop yangu Toshiba satellite niliinunua kitambo kidogo,sasa ipo slow sana japo ram ni gb 4,naomba mnisaidie wapi ntapata service z software na hardware pia maana hata dvd...
Haya mpya wezangu watufanye watumwa kila siku Facebook mara pamlchat tena tango au viber na nyungine nyingi sijazimaliza mtanisaidia.SWALI Zinafaida gani kwetu sisi ???? Wakati zote zinakazi moja...
Wadau kwakweli nimechoka na uduma za hawa jamaa, kila siku matatizo tupu,hata local chaneli hawaoneshi bure.?
Wadau mwenye idear ya kuchakachua matangazo yao aweke hapa,mana tumewachoka bora...
Dear Photograph The website features photographs of people holding up old pictures that were taken at the exact spot several years ago. Some of the best photographs are now compiled in a book...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.