Jana wakti napitia pitia online nilikutana na watu wameanzisha kitu kinaitwa php gtk kwa ajili ya kutengeneza desktop application je ni kweli hii yawezekana na kama inawezekana hiyo application...
Not one to take security lightly, Google has announced it will pay hackers a combined total of nearly US$3 million (NZ$3.65 million) to find exploits in its Chrome OS computer software.
The...
Demand for large-screen and low-cost smartphones were among the leading forces behind the staggering growth of the segment. Cheap devices were pointed as the key difference maker they made...
Nimekuwa nikitumia Apple iPhone 3g kwa muda sasa.sasa nimehitaji kuweka application ya Jf na nyimginezo inagoma ikisema os ni yazamani yaani ni 4.1 na inatakiwa niwe na version zaidi ya hiyo( new...
Previous reports revealed that the G Pro 2 will have a 6-inch display with Full HD (1920 x 1080) resolution, Qualcomm Snapdragon 800 processor 3GB of RAM, LTE-Advanced connectivity and Android 4.4...
Heshima mbele wakuu.-
Natafuta Internet yenye bei nzuri kwa matumizi ya office. Point to point ni nzuri na nipo tyr kupokea ushauri lakini nataka unlimited.-Yeyote mwenye ushauri please naomba...
Msaada kuna program za Windows ambazo nimeinstall kwenye Linux. Sasa naona baadhi hazifanyi kazi vizuri naziondoaje maana nimejaribu kwa njia ya terminal hazitoki. Naombeni msaada wanajf.
Wataalamu,
Nina Laptop Toshiba Dynabook A9/CME 422 ambayo imegoma kabisa ku install XP SP 3. Nimejaribu yafuatayo:
1. Nimetafuta Bootable CD tofauti tatu lakini moja tu ndiyo inatoa ujumbe wa...
Leo baada ya kujaribu kununua kifurushi hiki ili kuendeleza uharamia wa hiari, nimekutana na meseji inayosema kwamba kifurushi hiki kinakupa 1GB kuanzia saa nne usiku mpaka saa kumi na mbili...
ninapojaribu kudownload chochote kwenye internet nashidwa,hata kuangalia movie siwezi inaniambia adobe player nakiwa kudownload nanikijaribu kudownload inaaniambia idm need to downloaded msaada...
Wakuu heshima kwenu, nimenunua simu tajwa hapo juu, tatizo langu nimeshindwa kuiunga na internet. Nimeiunga na mtandao wa Vodacom. Pia nipo na account ya Hotmail. Naomba msaada wakuu wa jukwaa...
Natumia simu aina ya Tecno P3 android version ya 2.5.2
Nina maswali kadhaa kuhusu kuroot simu hasa hii
Je, nifaida gani nitazipata nikifanya hivyo?
Na Je, ni hasara gani naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.