Hi guys,
tafadhali naomba mwenye rendering software ya artlantis version 4.1 na key zake aiweke hapa nimekwama sina ujanja.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Hii ni project ambayo nime i-design kwa ajili ya kuwasha taa
au kitu chochote kinacho tumia umeme mkubwa kwa kutumia remote control
kwa umbali zaidi ya mita 10.
REMOTE YAKE
RECEIVER YAKE...
Wadau habari ,natumaini mu wazima na mnaendelea na majukumu .Ninatumia king'amuzi cha zuku ambapo alwayz hulipia package ya zukupoa na kupata stesheni kadhaa ila jana kuna bwana m1 alinipa...
TECNO N9 - Device Specifications
8.0'' HD display together with quad-core 1.2G CPU, TECNO N9 delivers perfect visual experience and smooth operation. With the latest version of Android 4.2 and...
What humans may have looked like 7,000 years agoHunter-gatherer roots, Paleo diet and some possible traces of African genes By Dylan Stableford, Yahoo News...
Salaam sana wanajamvi. Mimi ni Mshauri wa masuala ya teknolojia/tehama pia ni fundi computer. Kwa mara kadhaa hapo awali nimeutaarifu umma kwenye nyuzi kama hizi kama umetokea kukutana nazo...
jaman nimetak kununua laptop lakn ni bora n
iulze kwnza ili nisje juta next tme. Kati ya accer dell hp fujitsu zote zna webcam sasa ip bora na ipo kwnye kwango.
Jf msaada kuweza kufunga kabisa wacweze kuhuck wi-fi yangu kwangua haijukui mwezi bando imeisha. na nimekua nikiona vijana wakiwa maeneo ya Jirani na nyumbani kwangu kila mtu yupo bussy na...
Habar wana jf?
Samahan wakuu laptop yangu ninapo turn on kuna software zinatokea kwenye screen kwa mfano avafind, Blackberry software na nyingine mm sitaki zitokee. Msaada wakuu kuna...
.
The hacker who hacked email
accounts of George W.Bush ,
comedian Steve Martin, Pulitzer
Prize-winning author Diane
McWhorter, Oceanographer Robert
Ballard, and many more officials...
So Wired
From an illustration for Popular Science by John Picaco
South Korea's science ministry is investing $1.5 billion in building 5G wireless service for the country by 2020, AFP...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana mwezenu amabye nimechoka kusubiri ajira,nimeamua kufungua Company yangu,Ndugu zangu najua kila kitu ni pesa,Nimekwama ndio maana nakuja kwenu wangwana mnipe Link...
Habari wana JF!!
Nimekuwa ni mpenzi wa kujifunza kutengeza matangazo sana, hasa matangazo ya magazeti na mabango ingawa nimekuwa nikitumia zaidi Publisher (Offfice) lakini haitoi vitu vya...
Nadhani hili linapaswa kuwa hapa katika technology
Naomba kujua wale ambao wanauza cd a antivirus pamoja na serial zake wanafanyaje?
na mm nataka kuanzisha hii biashara kama inalipa.
natangulia...
Natumia iPhone 3G nli-download Jamii Forums app ikawa poa ss recently kila nikiifungua ikifika sehemu ya kusoma thread in-crash nliifuta then nika download tena ila bd tatizo liko pale2,ila...
Heshima Kwenu wanajamvi.
Simu yangu Nokia X2-01 inagoma ku- download apps, mara nyingi imekuwa iki-respond kwa kuleta ujumbe huu "Service Not Available. Pia OVI Store nayo inagoma kabisa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.