Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu najaribu kuweka vocha airtel mbona zinakataa? Ni mimi tu au? Kila nikiweka inasema service timeout Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Naomba msaada wa jinsi ya kuondoa "Limitation Files" kwenye "Trial Software".
0 Reactions
3 Replies
968 Views
Naomba msaada wenu. Mimi simu yangu ni NOKIA 6151, na tatizo ni kwamba "Switch" yake ya kuwashia iliharibiwa na kutofanyakazi kabisa. Sasa Wataalam na Mafundi mliobobea katika maswala ya simu, Je...
0 Reactions
0 Replies
683 Views
nahitaji kununua ipad wapi bei poa dar es salaam
0 Reactions
5 Replies
1K Views
The English edition of Wikipedia Encyclopedia contains around 3 million articles as of now and if someone were to print the entire Wikipedia encyclopedia into a book, the size of that book would...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kama wadau mna uzoefu jinsi ya kuroot galaxy duos pamoja pia na faida zake ni zipi ukiroot simu unanufaika na nini zaidi au asijekuwa napoteza maana halisi. tafadhari tuelimisheni hapa nimesoma...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji kujifunza jinsi ya kutengeneza dynamic website lakini sijui chuo gani kina fundisha hapa Tanzania hata kama ni online.. Wana JF naomba msaada wenu
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuna wizi umezuka mtaani kwetu wa kutumia dawa za usingizi, mnapuliziwa mnalala mpaka wezi wanaweza hata kuwalaza chini wakaiba mpaka vitanda baada ya kuwalewesha mbwa na walinzi getini. Kuna...
0 Reactions
16 Replies
9K Views
Hallo. Samsung Galaxy Note Tablet 10.1 Mpya/kwenye box/from USA/Wifi/16GB/dlna/Android 4.2/S.Pen/Full HD/ Bei 800,000 tu. Ni PM then I will reply U.
0 Reactions
0 Replies
527 Views
naamini ntapata info za kutosha humu. nahitaji jua ni kampuni gani hapa tz inatoa VSAT internet services at a considerable price with low equipment and installation cost.
0 Reactions
2 Replies
729 Views
Actually its not a virus wakuu lakini you can scare someone at office, home or a friend but its completely harmless! What you do, fungua notepad kwenye pc yako then andika start(...).bat. Hapo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Stunning New Photo of Andromeda Galaxy Taken by New High-Res InstrumentBy Clara Moskowitz | SPACE.com – Wed, Jul 31, 2013 7:45 AM EDT Email Share Print View PhotoThis new...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Hawa AGAPE,ambao wana king'amuzi chao cha ting,wamebadilisha mfumo wa urushaji matangazo toka dvbs kwenda dvb t2,hivyo wakawataarifu wateja wao kuwa wanatakiwa kuzirudisha zile decoder ambazo kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari JF, Nina mpango wa kununua galaxy s3 mini, nimejaribu kupitia reviews kwenye internet pia naomba kupata reviews zenu wanajamvi kwa yeyote aliyewahi/anayetumia simu hii. Asanteni sana
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Habarini wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyo sema je naweza pata core i3 laptop MPYA kwa laki 6
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mechanical (automatic) watches are not as accurate as quartz (battery operated) watches. They may have a difference of +/- 15/20 seconds per 24 hours period of their being on a practical (the...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi naomba msaada wa link ya vitabu au site nzuri nayoweza kujifunza java script from the scratch. Pia naomba ushauri(mawazo) juu ya ku i master hii scripting language.
0 Reactions
2 Replies
903 Views
microsoft ametoa software yake ya office kwa watumiaji wa android leo. sema itakua na sharti moja lazima uwe umenunua microsoft 365 ya pc ili uweze kuidownload. kama kwenu au ofisini munayo ya...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba mwenye kiufahamu simu hii. Ina inbuily memory ya 2GB. Nimeongeza memory kwenye external SD yeye 16GB. Nimeshamisha Music and video, na pictures from built in memory to SD ya 16GB. Shida...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
used iphone3g for sale, a small fracture on sim card lid, bei laki 1 na 80.
0 Reactions
0 Replies
706 Views
Back
Top Bottom