Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu! Naomba msaada wa kujua ni wapi naweza kupata AMMONIA SOLUTION 35% Industrial 250Litres. Na bei gani?
0 Reactions
1 Replies
831 Views
wadau naomba msaada wa kucreat WIFI hotspot kwenye blackberry bold 9700 iweze kushare kwenye simu au laptop yenye uwezo wa kuditect wifi
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Guys ambaye anaweza unlock hiyo simu, pls nikupate tuelewane?
0 Reactions
5 Replies
970 Views
wakuu nimekwama hapo kma kunandugu yeyote mwenye keys za microsoft office 2013 tusaidiane jaman
0 Reactions
3 Replies
889 Views
Naomba msaada kwa anayejua kuhusu hii simu, hasa katika ku-download applications mfano whatsapp, kila link inanikatalia, nitashukuru kwa ufafanuzi.
0 Reactions
18 Replies
2K Views
jaman hii laptop nataka kununua memory ni 1GB storage 250GB HDD processor 1.66GHZ
0 Reactions
2 Replies
733 Views
jaman hii laptop nataka kununua memory ni 1GB storage 250GB HDD processor 1.66GHZ
0 Reactions
0 Replies
571 Views
Wakuu wapi ntapata hii simu hapa bongo na zinauzwa sh ngapi?
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari zenu. Nina maswali machache yananitatiza kuhusu bumps katika barabara nahisi majibu ya wataalamu yatasaidia. 1. Je katika mafunzo yenu ya ukandarasi huko vyuoni huwa mnafundishwa kuhusu...
0 Reactions
0 Replies
672 Views
nimejaribu kuangalia ina features nyingi na zaidi naona inastream youtube video direct nimekuta nazielewa sana hizi simu kwamfano E72 jamani hivi ni kweli toleo hili la Nokia ni zuri zaidi? au...
0 Reactions
0 Replies
762 Views
Mwezi huu nina kamshiko kadogo nakatarajia,moja wapo ya budget zangu ni laptop..maana sometimes nakuwa na mareport yangu ofisini inanilazimu nichelewe kutoka while ningeenda tu kumalizia home.si...
0 Reactions
35 Replies
21K Views
WAKUU, Samahani kama kuna mtu anaijuwa hii website: Stealth Cash Code | Just another WordPress site anipe maelezo kidogo kuhusu web hiyo. Ahsante.
0 Reactions
0 Replies
670 Views
habari za kwenu wanaJF. Naomba mnisaidie kunielimisha niweze kuelewa jinsi ya kuunlock simu za iphone hasa hasa iphone 3gs kwakuwa hiyo ndo ambayo mimi ninayo na nashindwa kuitumia sababu ipo...
0 Reactions
5 Replies
980 Views
kwa muda mrefu nilikuwa napata shida sana kila nnapodownload file lenye extension ya .iso, .daa, .img, na mengine ambayo yanakuwa na image za cd au dvd ilinibidi kwanza ni extract content via...
3 Reactions
7 Replies
6K Views
Leo nimejiunga na huduma ya vodacom ya cheka time ya Tsh 400 ambayo unapewa dk 10 za vodacom kwenda vodacom na MB 25 na sms100 baada ya kujiunga nilipiga sim nikaongea kwa dk 5.53 cha...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakuu habari... Modem yangu kwa siku ya pili mfululizo haisomi katika kompyuta yang na hivyo siwezi kuunga ili kupata internet, nilijaribu kuiunistall mwanzo na kuinstall upya haikufua dafu...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Hi guys, I was opening a C++ code with gedit, I think the file was being corrupted in the process of opening, and the following message was displayed: "There was a problem opening the file...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Kurasa (Tanzania News) Probably the best Tanzania news, music, events and video App for Android phones. I like the Google Reader idea.
0 Reactions
0 Replies
699 Views
ndg wana jf nime download software kwa ajiri ya ku update receiver, but software ipo kwene mfumo rar while receiver inahtaj abs format nifanyeje wandugu? msaada plz
0 Reactions
2 Replies
840 Views
Habari zenu wadau humu ndani! Nina shida kwa mtu anaejua upatikanaji wa Receiver ya hawa jamaa (Abu Dhabi TV Network) maana nimejaribu kuperuzi kwenye mtandao kama wana msamabazaji hapa Tanzania...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom