Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari JF Nilikua natafuta games like Draft na Zuma Deluxe ni wapi naweza kuzi download and when am free niweze ku refresh my mind. Kama kuna yeyote anaweza kunipatia links za kuzidownload itakua...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Wakuu heshima iwe kwenu, Naombeni msaada juu ya hili tatizo kwenye simu yangu ya samsung gallaxy ace,nimeinstall youtube downloader ila tatizo linakuja kila nikidownload wimbo inadownload hadi...
0 Reactions
2 Replies
912 Views
yeyote anayeifahamu hii software pamoja na key yake .... ni muhimu sana kwa ajili ya ms excel. naihitaji sana sana. msaada wenu tafadhali...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Dear wana jamii nauza Application zifuatazo kwa ujumla wake kwa gharama ya 20000 tuu...Jaribu kulinganisha na gharama halisi kama ungezinunua Apple store, Nimekuwekea na bei zake ili uone utakua...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
inaleta massage flan "insert disk LABEL"
0 Reactions
0 Replies
676 Views
Wataalamu wangu, naomba nipeni tabia ya iyo kitu.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamani simu haijatumika sana..ina vifaa vyake..ni simu galaxy yenye screen kubwa na line mbili..anayehitaji anicheki kupitia 0713 190 118
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Hizi ni baadhi ya filamu za uhuishaji (Animated films) zitakazooneshwa katika tamasha la filamu Zanzibar mwezi Julai mwaka huu. Zimetengenezwa na Watanzania...... mnaweza mkaona hatua...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hv Hakuna mtu alieyemaliza Then akapewa Muda wa nyongeza? Maana Naskia Kuna Nyongeza Ila Rafk Zangu Kadhaa Siwaoni Hewani tayari
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jaman najiuliza,je wataalam kuikimbia tanzania ni nchi haina fedha au haiwataki hao wataalam? Kijana mmoja anafamu computer science(bcoz ndo anachopenda) anajua computer langs kama...
1 Reactions
39 Replies
3K Views
Hii ni kwa watumiaji wa tigo tu! Bonyeza *150*01# Kisha bonyeza namba 3 kutoa pesa! Namba ya wakala weka 11200 Kiasi ingiza 1,000,000 Namba za siri unaweka unayo2mia siku zote yaani namba...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Kwa sasa TTCL wameshusha bei ya bundle za internet TARIFF AND PACKAGES: MPYA Package Type Package Volume Price Per package In - Bundle...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Wakuu nataka kununua laptop yenye specifications zifuatazo. Processor:core 2 duo Hard disk: 128-320gb Ram:2gb Graphics card: 128-500mb dvd writer,webcam,wi-fi,blueooth. Sasa nilikua naomba...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Tumezoea kuona profession mbali mbali zikiwa na board zao. Mfano board za engineers. Procurement. Accounting Natamani kuona uanzishwaji wa board ya Information Communication Technology nayo...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Samahani waungwana, naomba kujuzwa, hivi hili tatizo la idm(internet download manager) kuleta kisanduku cha kuandika username na password kila napotaka kudownload file ni kwangu tu au ndio...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nimetembelea website ya makamu wa raisi, huwezi amini nilichokuta. Ni mitusi kwa kwenda Mbele, kwa maandishi na kuna muziki wa hiphop wa mitusi.. Kuna mtu anajiita Govt Attacker. Mr. Spam ..! Eti...
1 Reactions
50 Replies
4K Views
Heshima kwenu wakuu Nina BB RIM nikifungua youtube inanionyesha message hii "Content not available server is blocked or unresponsive" nisaidieni hii ni 1st tym kutumia bb.
0 Reactions
2 Replies
793 Views
Jama mara nyinginine kwenye hii subwoofer naongeza sauti mara moja yenyewe inaendelea hadi mwisho au napunguza sauti mara moja inafika hadi sifuri! Hii ikoje?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nashindwa download app yoyote toka apple store naambiwa not available in tz store, hats nibadili location niweke USA naambulia not available in USA store. Any one knowing the solution
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Waungwana wenzangu, ninatumia simu TECNO TV70, ni SCREEN TOUCH, lakini ghafla baada ya kubadili Line na kuiwasha iliwaka na then ika-stack, haikubali kuzima wala kuoperate chochote. Baada ya muda...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Back
Top Bottom