Hi, Ninatumia laptop ya Gateway inatumia Bios ya Phoenix, kwenye Advance Menu kuna iterm 3 tu .... nashindwa kubadilisha vitu vingi kama Hdd Mode from RAID to IDE... msaada tafadhali!!
Namba kwa mtu yeyote anayejua set up za email. Naomba nijue mnafanyaje ili kila napo tuma email zangu kwa watu mbalimbali ziwe zinaapia na full address kwa chini bila kuwa naandika mara kwa mara...
Nina iPhone tajwa hapo juu Ila nikitaka kudownload hata free application Kama whatsapp, fb au jf inaniambia requires ios 4.1 sasa apo sielewi hii ios una upgrade vipi na mwenye ujuzi jins ya kuona...
Wadau nina macbook yangu nyeupe ambayo inasumbua baadhi ya keys zake. Nahitaji kuwa recommended kwa fundi ambaye anajua anachofanya ikija kwenye masuala ya Mac. Tafadhali ni PM namba ya mhusika
Kwa yeyeto anaefahamu, Sim card ina contacts zangu kibao, ila naiweka kwenye hiyo Samsung Tab majina hayaonekani, wana JF msaada juu ya hilo tatizo, au ndio hawezekani?? Contacts mpya zina display...
kwanza nashukuru wadau kwa misaada na elimu mnazotoa
nina simu yangu ya nokia nimeweka joiku ili inisaidie kupata aces ya net kwenye vit kama laptop na tablet.tatizo langu ni kwamba haidetect kwa...
Wakuu natumai hamjambo, naomba msaada wa software ya vpn, hii inatumika kufungua zile site zilizozuiliwa kufunguka kwa sababu moja au nyingine, naomba mtu aliyonayo aiweke kwenye hili jukwaa...
Ndugu technologia inakua nami Nimepata bahati ya kupata ipad,.naomba mnisaidie ndugu zangu kujiregister ili niweze kudownload application mbalimbali,.nimejitahidi lakini kuna sehemu nafika...
Hey guys im here to bring you a so called Freedom of Life. wanna get Any iOS or Almost all for free? follow me and i will show you how to get it. technology updates
wandugu naomba mwongozo kuhusu ebay.. ivi niknunua kitu ebay kitanifikiaje kama naishi mkoan i.e mbal na dar. na katika option za malipo je unaweza kutumia westernunion? naomba kusaidiwa.
Ndugu technologia inakua nami Nimepata bahati ya kupata ipad,.naomba mnisaidie ndugu zangu kujiregister ili niweze kudownload application mbalimbali,.nimejitahidi lakini kuna sehemu nafika...
Salamu wakuu.
naomba kujuzwa kuna disadvantages gani kutengeneza website kwa kubase plainly on html5 na css?
content za hiyo website mainly ni media.
Shukran!
WAKUU kuna hii post nime itafuta kwa njia ya,,, site:jamii...
lkn sikufanikiwa lkn kuna mdau aliiweka
basi anaiyeikumbuka ani link au anayejua anisaidie ....na-run win 8 pro kwa partion 2...
Wakuu nisaidieni cha kufanya, nimedownload firmware ya strong receiver model SRT 4663x, sasa nimeenda kwenye menu baada ya kuweka USB nimeclick data transfer ikafungua USB then nika select program...
habari zenu wadau wa jamii forums.natanguliza heshima kwenu wote.mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza katika idara ya uhandisi wa umeme na niko katika mahangaiko ya kutafuta maeneo ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.