Ninatumia
simu aina ya Nokia Asha 200 lakini nikijaribu ku submit reply ujumbe
niliouweka hauonekani.Lakini nireply post ya mtu ujumbe unaonekana.Hiyo
submit reply inakuwa kwa chini mwisho...
Wakuu naomba msaada ni jinsi gani ninaweza kurestore data za kwenye external HD. Nilitumia External yangu kwenye PC ya rafiki yangu ila baada ya kuitoa ni kuwa file zote zinaonekana kuwa ni...
Heshima mbele wakuu, nina passion ya kujifunza programming, lakini tatizo ni kwamba sijui nianzie wapi, in short computer najua basics zake tu ukizingatia nimesoma biashara kuanzia form 3 mpaka...
ipod yangu imeharibika. Nimeifungua nikatoa HDD yake. Hivi kuna anayejua jinsi ya kuibadili ikawa external ili niitumie kwenye computer maana ina 160GB naona nazipoteza hivi hivi
Hallow brothers and Sisters
A FREELANCER is somebody who is self-employed and is not committed to a particular employer long term. Je unataka kufaham mbinu zitakazokuwezesha wewe kuwa mmoja wa...
wakuu nina mashine yangu aina ya packard bell..virus wamezingua nataka niipige window chini niweke window nyingine..tatizo linakuja inakataa kuboot from cd..nimejaribu kwa kutumia F8, F9...
Mimi na jamaa yangu wa karibu tumenunua simu za aina ya Samsung Galaxy S III na Galaxy S Duos. Galaxy SIII imewekwa chip ya Vodacom na Du
os chip ya Tigo.
Wadau ninaomba namna ya ku-configure...
Naombeni msaada wana JF, naamini hakuna kinachoshindikana humu. Files hazifunguki zinaleta message hi hapa chini
"Word cannot open the document: user does not have access privileges"...
Natafuta fundi mzuri sana anayeweza kunitengenezea Blackberry Bold 9930. Nimenunua mpya kabisa kama wiki mbili zilizopita, pasipo guarantee. Nilikuwa nimetoka ku snyc phonebook zangu kwenye...
nime update
sasa inashindwa kufunguka. nikiunganisha na itunes, inasema ni-restore......... nikigonga restore inaenda hadi mwisho inatoa error no 1015
nifanyeje wakuuuu
Wakuu nina 4s Verison, nishahangaika sana ku-unlock, nilimpelekea fundi Sele pale Samora naamini wengi mnamjua naye kachemsha yaani nimekwama kabisa!!
Mtu aliinunua US akaleta
Salaam to you all!
Pictured here is one of the first "portable" computers. It could be considered the first laptop. This is the Osborne 1, which came out in 1981. The computer cost $1,800...
Habari za mchana wanajamii?? mie napenda kuulizia kama ile taa ya powerpoint in certain life span na baada ya muda ni lazima ife? if so ni replaceable? na kama ni hivyo vipi upatikanaji wake kwa...
Habari zenu wakuu...
Nilibadilisha password ya fb last week, leo nimeupgrade browser nikasahau kukeep data. Nimejaribu kureset na wamenitumia code kwenye email yangu ya yahoo ambayo nayo imegoma...
Naomba kuuliza wakuu, hivi Windows 8 ya Microsoft imeshawekwa dukani au bado?
Kama bado mbona kuna mwanangu anatumia windows 8 katika machine yake? hii ni nini au fake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.